Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Nimeona nitengeneze thread itakayoweka link ya kwenda kwenye thread zenye shutuma za ufisadi au topic zozote zinazogusia ufisadi. Hii itasaidia mtu yeyote atakayependa kuwa na quick reference na pia kwa kusudi la kuokoa thread zilizopita zisisahaulike upesi. List itaendelea kuwa updated overtime...na pia jisikie huru kuchangia
'desperate times call for a desperate measures'
1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/9131-cis-180bn-scam-tanzania-govt-act.html
- hii thread inafuatilia pesa zilizokopwa kutoka Commodity Import Support Fund (CIS) na madai yake
2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/29351-ni-ufisadi-wa-spika-samwel-sitta.html
-hii inamlenga spika wa Bunge (Samuel Sitta) na tetesi mbalimbali za ufisadi wake
3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...o-dhidi-ya-ufisadi-wapi-tunafanya-makosa.html
- kama title inavyojieleza...thread inaangalia silika ya ufisadi nchini na wapi pa kujirekebisha
4.https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/2670-bot-scandal-tulikotoka-tulipo-tunakoelekea.html
- hii ndo EPA, ni ya zamani kidogo, lakini ndo hivyo, tunaweka rekodi
5. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/5389-mrema-na-slaa-wazungumzia-vigogo-wa-ufisadi.html
- hii ilikuwa mwaka 2007 - majina ya "mafisadi vigogo" yawekwa live: post ya tatu chini naweka quote ya hayo majina yaliyotajwa.
6. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/14378-kutoka-dodoma.html
- Uchawi wa Change ndani ya Bunge na kikao dharura cha NEC - hii ilikuwa June 2008
7. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/16241-kifo-cha-mhe-chacha-wangwe-na-uchunguzi-wake.html
- Kifo cha Chacha Wange na maswali yaliyobaki wazi...
8. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/35211-ephraim-mremana-ufisadi-uliokithiri-tanroads.html
- mambo ya TANROADS hayo na 'inflated' bei za kutengeneza barabara
9. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/35215-drugs-worth-millions-go-missing-in-tanzania.html
- haya sasa...ufisadi hadi kwenye madawa
10. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ki-digrii-za-kununua-na-watumishi-vihiyo.html
- haya hii inaangalia vyeti feki vya viongozi mbalimbali
- ni ndefu kidogo...kwa hapa kuna nyingine inayomuangalia (Dr) Nagu na (Dr) Makongoro
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-nagu-na-phd-kutoka-chuo-kisichosajiliwa.html
11. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...amingo-apewa-tenda-aliyonyimwa-mtanzania.html
'desperate times call for a desperate measures'
1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/9131-cis-180bn-scam-tanzania-govt-act.html
- hii thread inafuatilia pesa zilizokopwa kutoka Commodity Import Support Fund (CIS) na madai yake
2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/29351-ni-ufisadi-wa-spika-samwel-sitta.html
-hii inamlenga spika wa Bunge (Samuel Sitta) na tetesi mbalimbali za ufisadi wake
3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...o-dhidi-ya-ufisadi-wapi-tunafanya-makosa.html
- kama title inavyojieleza...thread inaangalia silika ya ufisadi nchini na wapi pa kujirekebisha
4.https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/2670-bot-scandal-tulikotoka-tulipo-tunakoelekea.html
- hii ndo EPA, ni ya zamani kidogo, lakini ndo hivyo, tunaweka rekodi
5. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/5389-mrema-na-slaa-wazungumzia-vigogo-wa-ufisadi.html
- hii ilikuwa mwaka 2007 - majina ya "mafisadi vigogo" yawekwa live: post ya tatu chini naweka quote ya hayo majina yaliyotajwa.
6. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/14378-kutoka-dodoma.html
- Uchawi wa Change ndani ya Bunge na kikao dharura cha NEC - hii ilikuwa June 2008
7. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/16241-kifo-cha-mhe-chacha-wangwe-na-uchunguzi-wake.html
- Kifo cha Chacha Wange na maswali yaliyobaki wazi...
8. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/35211-ephraim-mremana-ufisadi-uliokithiri-tanroads.html
- mambo ya TANROADS hayo na 'inflated' bei za kutengeneza barabara
9. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/35215-drugs-worth-millions-go-missing-in-tanzania.html
- haya sasa...ufisadi hadi kwenye madawa
10. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ki-digrii-za-kununua-na-watumishi-vihiyo.html
- haya hii inaangalia vyeti feki vya viongozi mbalimbali
- ni ndefu kidogo...kwa hapa kuna nyingine inayomuangalia (Dr) Nagu na (Dr) Makongoro
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-nagu-na-phd-kutoka-chuo-kisichosajiliwa.html
11. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...amingo-apewa-tenda-aliyonyimwa-mtanzania.html
Last edited: