Kwa wale wapenda michezo kama mimi napenda kushare namna ya kuangalia mechi online. Hii inasaidia kwa wale wanaoenda umbali mrefu ili kupata kutazama tim zao.
Jinsi ya kufanya ni fungua browser yoyote kweny pc alaf tembelea goatdee.net website iyo itakonyesha link nyingi chagua unayoipenda then enjoy. Mechi moja ya football inaeza cost atleast 500MB.
Skuiz sio lazma kutembea usiku kisa mechi. Champions league final is on its way guys had to share this before the major occasion. Enjoy
Unaweza kuangalia mechi mbalimbali kupitia link zinazoweka hapa kupitia simu yako.. kikubwa uwe na PUFFIN BROWSER katika simu yako..
NB. Link huwa zinabadilika mara kwa mara ktk mchezo husika na huwa zinachelewa kwa dk 2-5 kabla ya kuanza kuonekana..
LEO ANZA NA HII..
15:30 - KAA GENT vs GENK
BOFYA===>KAA Gent vs Racing Genk Live Stream | UsaGoals TV
NB. TUMIA PUFFIN BROWSER.
Sent using Jamii Forums mobile app
ATDee.Net - Watch Free Live Sports TV au ATDHE | ATDHE.net | Free Sports TV
1. close add
2. click full screen
3.enjoy
imesha chezwa tanzania kashinda 2 chad 1Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu hawajatangaza.Vilevile nina ndugu yangu yuko Malaysia na yeye anaomba kufahamishwa kama anaweza kuangalia online na ni kwenye website gani?
Naomba msaada jinsi ya kuona mechi live bure kwenye computer kama za uefa,primier league nimejaribu ''live football'' bila mafanikio
Mimi mwanzo nilikuwa nahangaika sana na tv softwares ambazo kiukweli ziko very limited ktk channels zake. Mwisho wa siku google ndiyo ikajakuwa suluhu. Website ni nyingi sana zenye kuonesha mechi live kibao. Huna haja ya kukariri, we ingia tu kwenye google kisha omba Live football streaming sites utapata orodha ya sites kibao, kisha utajichagulia mwenyewe ipi utakayoona inakufaa.
Naomba msaada jinsi ya kuona mechi live bure kwenye computer kama za uefa,primier league nimejaribu ''live football'' bila mafanikio
Kwa wale wapenda michezo kama mimi napenda kushare namna ya kuangalia mechi online. Hii inasaidia kwa wale wanaoenda umbali mrefu ili kupata kutazama tim zao.
Jinsi ya kufanya ni fungua browser yoyote kweny pc alaf tembelea goatdee.net website iyo itakonyesha link nyingi chagua unayoipenda then enjoy. Mechi moja ya football inaeza cost atleast 500MB.
Skuiz sio lazma kutembea usiku kisa mechi. Champions league final is on its way guys had to share this before the major occasion. Enjoy
Unaweza kuangalia mechi mbalimbali kupitia link zinazoweka hapa kupitia simu yako.. kikubwa uwe na PUFFIN BROWSER katika simu yako..
NB. Link huwa zinabadilika mara kwa mara ktk mchezo husika na huwa zinachelewa kwa dk 2-5 kabla ya kuanza kuonekana..
LEO ANZA NA HII..
15:30 - KAA GENT vs GENK
BOFYA===>KAA Gent vs Racing Genk Live Stream | UsaGoals TV
NB. TUMIA PUFFIN BROWSER.
Sent using Jamii Forums mobile app
ATDee.Net - Watch Free Live Sports TV au ATDHE | ATDHE.net | Free Sports TV
1. close add
2. click full screen
3.enjoy
Mkuu Mr Kicheko vipi kuhusu via simu?Hebu funguka vizuri je wataka kuangalia via simu au computer? kama computer ingia humu FirstRow Live Football Stream | Watch Live Football Online | Live Soccer Stream
nitumie program gani ili niweze kuangalia mechi online?
Kwa nini online si ununue dish au uende bar ili uchangie pato la taifa.
Online game inakua nyuma kwa sekunde 60 au zaidi kuliko katika tele
Same match jirani yako anaweza akawa anashangilia goli wewe bado unashanga na online yako. Hadi sekunde kadhaa zipite ndo nawe waliona