Thread maalum ya kuweka Links za michezo za kuangalia Online hususani mpira

IrDA

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
743
350
Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu hawajatangaza.Vilevile nina ndugu yangu yuko Malaysia na yeye anaomba kufahamishwa kama anaweza kuangalia online na ni kwenye website gani?

nitumie program gani ili niweze kuangalia mechi online?

Kwa wale wapenda michezo kama mimi napenda kushare namna ya kuangalia mechi online. Hii inasaidia kwa wale wanaoenda umbali mrefu ili kupata kutazama tim zao.

Jinsi ya kufanya ni fungua browser yoyote kweny pc alaf tembelea goatdee.net website iyo itakonyesha link nyingi chagua unayoipenda then enjoy. Mechi moja ya football inaeza cost atleast 500MB.

Skuiz sio lazma kutembea usiku kisa mechi. Champions league final is on its way guys had to share this before the major occasion. Enjoy
0f2f6eba25f4efa0d68a8556abc285e7.jpg

Unaweza kuangalia mechi mbalimbali kupitia link zinazoweka hapa kupitia simu yako.. kikubwa uwe na PUFFIN BROWSER katika simu yako..

NB. Link huwa zinabadilika mara kwa mara ktk mchezo husika na huwa zinachelewa kwa dk 2-5 kabla ya kuanza kuonekana..

LEO ANZA NA HII..

15:30 - KAA GENT vs GENK

BOFYA===>KAA Gent vs Racing Genk Live Stream | UsaGoals TV

NB. TUMIA PUFFIN BROWSER.

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu hawajatangaza.Vilevile nina ndugu yangu yuko Malaysia na yeye anaomba kufahamishwa kama anaweza kuangalia online na ni kwenye website gani?
imesha chezwa tanzania kashinda 2 chad 1
 
Naomba msaada jinsi ya kuona mechi live bure kwenye computer kama za uefa,primier league nimejaribu ''live football'' bila mafanikio
 
Mimi mwanzo nilikuwa nahangaika sana na tv softwares ambazo kiukweli ziko very limited ktk channels zake. Mwisho wa siku google ndiyo ikajakuwa suluhu. Website ni nyingi sana zenye kuonesha mechi live kibao. Huna haja ya kukariri, we ingia tu kwenye google kisha omba Live football streaming sites utapata orodha ya sites kibao, kisha utajichagulia mwenyewe ipi utakayoona inakufaa.
 
Naomba msaada jinsi ya kuona mechi live bure kwenye computer kama za uefa,primier league nimejaribu ''live football'' bila mafanikio

Bure inategemea na Bandwisth ya net yako hizi ni baadhi ya link

mypremium.tv/
- Hawa si tu unaweza kuona channel kadhaa za sky sports bali hata baadhi ya vipindi vizuri vya sayansi na tek vya BBCone au BBCtwo Vile vile Eurospsoprts. Njia nyingine unaweza kuona channel kama hizi moja kwa moja bila upitia kwenye tovuti nyingine ni kufake IP iwe ya nchi fuani eg uk.

VIPBOX.tv hapa napo unaweza kucheki michezo mbali mbali live

vile vike soma singarure hapo chini kwenye kablog a mtazamaji unaweza
 
nitumie program gani ili niweze kuangalia mechi online?

Kwa wale wapenda michezo kama mimi napenda kushare namna ya kuangalia mechi online. Hii inasaidia kwa wale wanaoenda umbali mrefu ili kupata kutazama tim zao.

Jinsi ya kufanya ni fungua browser yoyote kweny pc alaf tembelea goatdee.net website iyo itakonyesha link nyingi chagua unayoipenda then enjoy. Mechi moja ya football inaeza cost atleast 500MB.

Skuiz sio lazma kutembea usiku kisa mechi. Champions league final is on its way guys had to share this before the major occasion. Enjoy
0f2f6eba25f4efa0d68a8556abc285e7.jpg

Unaweza kuangalia mechi mbalimbali kupitia link zinazoweka hapa kupitia simu yako.. kikubwa uwe na PUFFIN BROWSER katika simu yako..

NB. Link huwa zinabadilika mara kwa mara ktk mchezo husika na huwa zinachelewa kwa dk 2-5 kabla ya kuanza kuonekana..

LEO ANZA NA HII..

15:30 - KAA GENT vs GENK

BOFYA===>KAA Gent vs Racing Genk Live Stream | UsaGoals TV

NB. TUMIA PUFFIN BROWSER.

Sent using Jamii Forums mobile app

 
nitumie program gani ili niweze kuangalia mechi online?

Kwa nini online si ununue dish au uende bar ili uchangie pato la taifa.

Online game inakua nyuma kwa sekunde 60 au zaidi kuliko katika tele

Same match jirani yako anaweza akawa anashangilia goli wewe bado unashanga na online yako. Hadi sekunde kadhaa zipite ndo nawe waliona
 
Kwa nini online si ununue dish au uende bar ili uchangie pato la taifa.

Online game inakua nyuma kwa sekunde 60 au zaidi kuliko katika tele

Same match jirani yako anaweza akawa anashangilia goli wewe bado unashanga na online yako. Hadi sekunde kadhaa zipite ndo nawe waliona

Mkuu wengine wanaishi kwenye nyumba za kupanga na Mafadha hausi wao ni wanoko so kufunga Dish ni shughuli pevu lililo rahisi kwao ni kucheck live stream kupitia Laptop/Desktop zao.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom