konnie,kuna thread nimetangaza kuwa roho yangu imekudondokea,umeiona?
original ID ni nani mkuu?...Naona umeamua kuja hapa na ID mpya....ingekuwa poa sana kama ungezuka na ID yako ya kweli. Pole sana kwa yaliyokukuta.
akuchukie nani mpendwa?wapi huko tena, sijaona
kule chit chat eti nachukiwa?
nimejilipua page 5 mmu kwenye thread ya aminata...kwa wanawake pliiizzzzzwapi huko tena, sijaona
kule chit chat eti nachukiwa?
Chizi!
Yaani ulipoambiwa 'kuna msichana nalazimishwa kuoa ila simpendi nakupenda wewe' ukajiona bingwaaa!
Kweli wanawake akili zetu zinatutosha wenyewe! Eliza wa tegeta nae sijui kahamia mbagala? Kha!
original ID ni nani mkuu?
Chizi!
Yaani ulipoambiwa 'kuna msichana nalazimishwa kuoa ila simpendi nakupenda wewe' ukajiona bingwaaa!
Kweli wanawake akili zetu zinatutosha wenyewe! Eliza wa tegeta nae sijui kahamia mbagala? Kha!
Kipipi akiamua kutoa point huwa zinakuwa nzuri kama pipi.
mwanamke akisema nampenda 'mume wa mtu' hakuna hatari
ole wako mwanaume uropoke eti 'nampenda mke wa mtu'
uone utakavyo shukiwa lol
...Naona umeamua kuja hapa na ID mpya....ingekuwa poa sana kama ungezuka na ID yako ya kweli. Pole sana kwa yaliyokukuta.
Hawa jinsia ya upinzani wabaguz kweli hawa. Lakini Mungu atatulipiamwanamke akisema nampenda 'mume wa mtu' hakuna hatari
ole wako mwanaume uropoke eti 'nampenda mke wa mtu'
uone utakavyo shukiwa lol