Though ur a married man, i will always love u

Though ur a married man, i will always love u

pole sana chukua kama changamoto usichume tunda la mti wa katikati kama hujajua tunda ni la aina gani.maana najua mzee baada ya kuchuma ndiyo alikutolea makucha. msahau tu maana hata hivyo anaonyesha hakupendi dada yangu
 
Katuzuga kuonyesha kama jamaa hajala maini binti huyu nae.Namwomba asikate tamaa ala mwingine akija ambanie asiwe mwepesi kihivyo kuachia mzigo
ukiona mtu ana machungu hivi ujue jamaa keshamega na kusepa.... inauma sana kwa kweli but ndiyo maisha
 
mimi huwa nasemaga ukweli,nakusaduce lakini nakuweka wazi that am married.lets pass lust.hii huwa haileti majuto baadae.
 
Thanx sana king,nimesha chukua kama changamoto
 
pole sana chukua kama changamoto usichume tunda la mti wa katikati kama hujajua tunda ni la aina gani.maana najua mzee baada ya kuchuma ndiyo alikutolea makucha. msahau tu maana hata hivyo anaonyesha hakupendi dada yangu

Thanx my daer
 
Pole mamii hawa ndo wanaume, ni zaidi ya uwajuavyo, we learn thr mistake
 
Dah, bora umeshajua ni wa mtu mwachie mwenye mali kama una karoho kepesi.
 
AS, za kupotea?
Na wewe huwa una sumaku ya wanawake?
Niazime robo kilo
kna mmoja hapa hapa
analeta maneno mengi
akati mie nimelenga tundi zaidi.
mimi nipo poa ,kuna mambo yaliniweka busy!
dawa ya hao watu siyo kwenye keyboard au keypads za simu ,hao dawa yao ni kukutana nao physically....hapo ni lugha ya maneno mpaka body language ,,,,km vp hebu muombe kidate kwanza.
 
vp husninyo km ana roho nzito afanyaje?

kama ana roho nzito adate nae huku akijua usiku ukifika mume wa mtu lazima arudi kwake, mume wa mtu lazima akamilishe majukumu ya familia kwanza kabla ya kukamilisha ya hawara, na itafikia kipindi ataona hawara hana maana hivyo atahitaji kutulia na mkewe.
 
kama ana roho nzito adate nae huku akijua usiku ukifika mume wa mtu lazima arudi kwake, mume wa mtu lazima akamilishe majukumu ya familia kwanza kabla ya kukamilisha ya hawara, na itafikia kipindi ataona hawara hana maana hivyo atahitaji kutulia na mkewe.
loud n clear labda ampate mume ***** ndiyo atasahau familia,,,,,,,,,na zaidi ukishajua unadate na mume/mke wa mtu unabadili staili ya kudate ati!
 
Ni jana tu nimeituma hi post bt asubuhi ya leo nimepata ushauri wa kutosha.

Nawashukuru wote mlioguswa na kunisaidia kimawazo kwani leo nimekua tofauti sana.

Mapenzi ni suala gumu ambalo kama hauna moyo wa ziada unaweza kujikuta unafanya maamuzi ya ajabu sana.Binafsi kabla ya kutafuta ushauri niliwaza niendelee nae2 mpaka nitakapo pata mausiano mapya bt kupitia ushauri wenu nimeamua kumpotezea kabisa from nw on.

Ni ukweli kwamba kabla yake sikua na mausiano kabisa kwa muda wa miaka miwili kwa kuogopa kutendwa tena bt alichonifanyia nae!!!! Namuomba Mungu anisaidie nimsamehe na kumsahau pia.

I real appreciate ur concerning on this guys.Stay blassed always
 
Guys,katika hali kama hii,am just wondering,What is standard definition of LOVE? really,have we got any?
 
uwiiiiiiiiiiii,madogo yana nafuu ,wala hata hakukupenda alikuwa anakudanganya
Ulimpa tunda?maana watu wasanii sana.
Kama angekupenda asingemuoa huyo ambae alikuwa hampenda,
Pole mwaya jifunze kutokana na makosa .

Umeona Eeeeh . . . . !! We acha tu . . . . Mume/Mke wa Mtu ni Sumu . . . wacha niende zangu na wangu mpenzi . . .


Scar+On+The+Sky+-+Lois_Lane_And_Superman.jpg


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom