Alikuwepo kwenye ligi ya South Africa Kwa sasa nimemwambia tumemiss ENGLISH yako ya haraka na manjonjo mara ya mwisho alitangaza akiwa Tanzania ,alisikika akisema ohhhhhh my god no electricity!!Naona hapa Thomas Mlambo karudi Dstv kwenye kombe la Dunia. Sijamuona kitambo sana
Nimemuona bhana, kitambo sana. Sema baada ya kuondoka Robert Marawa nafikiri palipooza wakaona wamrudishe tena MlamboNaona hapa Thomas Mlambo karudi Dstv kwenye kombe la Dunia. Sijamuona kitambo sana