This week in Perspective: Kipindi kinamlenga nani?

This week in Perspective: Kipindi kinamlenga nani?

Hembu kuwa hadhiri, unasema unaelewa Kiingereza bado hukielewi kivipi? Kuelewa kwako Kiingereza kungekusaidia kuelewa kipindi. Labda ubainishe wazi nini kinakusumbua!
Anaelewa lugha, anamaanisha kipindi ni cha hovyo.
 
Zamani waliongea changamoto za kuinua uchumi,elimu n.k ila saivi wanasifu malaika kwa kiingereza tu.
 
Hakina mvuto kiukweli hicho kipindi mi sijui kingleza naskiaga tu katikat ya mazungumzo yao huku wanaweka sura siriaz wanalitajataja jina flani maarufu kwa lengo la kupaisha kifupi hua sipend coz by ze tym nakua nimeishiwa bando la kin'gamuzi ndo hua naangalia hzo mambo
 
Hicho kiingereza chenyewe wanaongea kwa tabu yani unaona kabisa hali ya kulazimisha.
 
Kumbe kuna watu wanaangalia TBC mpaka wanajua vipindi vyake.
AMA kuna tiivii zinaonyesha TBC pekee?
 
Back
Top Bottom