Hiyo ni treu stor ilitokea songea jamaa alikuja anahitaji zile shilingi akaenda kwa jamaa akanunua kama za milioni kumi na kumuachia milioni kumi amnunulie akaja akachukua mzigo nakumuambia amtafutie za milion 100 kumbe jamaa kamuuzile na nyingine zakutosha kilichotokea jamaa anasubiri hadi leo