This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote


wakenya mnapenda udaku sana kuliko mada . Toa upumbavu wako hapa, unaabisha wakenya

Inakuaje kijana ana akili hivi kisha ni chokoraa..?

Inaonekana kujua kizungu haina maana kinakuwezesha kuweka ugali mezani, ndio maana wakenya mmebaki na maneno yakujua kizungu wakati kuna wazungu kibao hawaju kingereza na wana maisha mazuri sio chokoraa kama mleta mada.
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
 
Unaweza ongea kiingereza kizuri lakini uwezo wako wa kuperform ukawa ni mdogo kuliko. Nadhani vitendo ndio inatakiwa zaidi kuliko bla bla
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi?
acha mawazo ya kitumwa hayo, kingereza ni lugha ya wakoloni kwa ajili ya kuwatwala malofa kama nyie ili mjione kama wazungu kumbe ni machokoraa.
 
Mtoa post we ndio mjinga wa mwisho kiingereza ni just media ya mawasiliano kama kiswahili,kihaya nk kujua au kutokujua hakukupunguzii au kukuongozea kitu na kuking'ang'ania inaonyesha jinsi gani bado una mabaki ya ukoloni kifikra au kiakili,kama ingekuwa Mheshimiwa anashindwa kuongea kiswahili anaongea Kisukuma at least tungeshangaa!
 
acha mawazo ya kitumwa hayo, kingereza ni lugha ya wakoloni kwa ajili ya kuwatwala malofa kama nyie ili mjione kama wazungu kumbe ni machokoraa.
punguza povu isije ikakunyonga....ama pelekea nyanyako ule mashambani LDC...
 
Hawa watu bado wapo colonised. Free up your mind guys kusifia lugha za wakoloni ni kuonyesha jinsi mlivyo bado nyuma. Mindset zenu bado zina element ya kuona kila kitu cha mzungu kuanzia lugha, way of life ndo the best.
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
We ndo Wa mjini kujua kingereza.

Acha upumbavu mkenya.
 
Vipi haongei kiingereza kizuri kuliko warusi,Japani ,China na Korea?
 
Back
Top Bottom