Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Mahadhi, naye anaongozwa na msafara. Msafara wake unaongozwa na pikipiki ya askari una magari yapatayo tisa. Tena,kuna msafara mwingine wa maafisa wa Wizara hiyo. Kila mtu Serikalini sasa ana msafara? It is too much!