Sijui lakini hii picha kusema kweli ,inajieleza kabisa ,Tanzania inaweza kujiepusha na migongano ya kisiasa maana siuoni ule uadui wa Mwai Kibaki Na Raila Odinga ,ambapo wawili hao wanapokutana kila mmoja anaweka ndita iwe kwenye msiba au furaha ni vita tu ,iko haja kubwa ya Muungwana kujipiga kifua na kuigeuza Tanzania kuwa kisiwa cha Amani ya kweli na si unafiki ,inawezekana kabisa.