Kuhani ukumbuke kuwa sheria ilikuwa lobbied na wana uamsho na TAMWA au to be specific wanawake waliokuwa frustuated kutokana na matatizo ya ndoa zangu kuwa makubwa na hatimaye kuvunjika. Mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na sheria hiyo kama unavyojua kuna baadhi ya mambo yanatokea Tanzania tu. Jaribu kuangalia Profile za wana Tamwa na hao wanauamsho utaona kimaadili ya kitanzania hawafit, hoa ndio walio lobby sheria hiyo ipitishwe lengo kubwa likiwa kupambana na wanaume na kuwakomoa, na cleary shera hiyo inamuona mwanaume kama dudu hivi na kibaya zaidi inamuona mwanamke kama kitu, ndio maana unaona mwanamke mwenye miaka 18 ni mtoto kuliko kivulana chenye miaka 14, sijui kama hilo hasa ndio lengo lao.
Cha ajabu sheria inasema mwanamke mwenye miaka chini ya 18 anabakwa, lakini nafahamu kuna vivulana vyenye miaka 16, 17 vikiwapa mimba wanawake wakubwa au hata wanawake walimu wao hawaoni kama hilo ni kosa, so pathetic.