This is my true story

This is my true story

Challya

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2019
Posts
469
Reaction score
609
Story
 

Attachments

  • Screenshot_20190705-013441~3.jpeg
    Screenshot_20190705-013441~3.jpeg
    11.3 KB · Views: 125
Pole sana! Umeshaoa ama bado bado unamaumivu? Iko hivi katika maisha haya tunayoishi ujue kuna kuzaliwa, kuishi,na kufa. Kupenda na kutokupendwa kupo pia. Usikubali kuishi maisha ya kufikiria yaliyopita. Songa mbele na Mungu akupe imani iliyokuu.

Kama hujaoa Fanya mpango uoe kabisa na mzae chap chap ili usiwe unakumbuka yaliyopita ya Janeth.

Mtu akifa haijawahi tokea akarudi. Nilikuwa nampenda mama yangu hujawah ona alivyofariki nilipoteza kabisa uelekeo hadi shule sikuweza kusoma maana yeye ndo alikuwa ananilipia kila kitu, baada ya miaka 3 mbele sijui nini kilitokea nikanyanyua na kuanza upya safari ya maisha wanaonifahamu huwa hawaamini km ni mimi, na mpaka leo kifo kikitokea nitasikitika wakati huo baada ya siku mbili tatu hakika nasonga mbele kwa speed.

Mtu akishafariki harudi. Usikubali kubakia huko kwa Janeth songa mbele katika mahusiano.
 
Pole sana! Umeshaoa ama bado bado unamaumivu? Iko hivi katika maisha haya tunayoishi ujue kuna kuzaliwa, kuishi,na kufa. Kupenda na kutokupendwa kupo pia. Usikubali kuishi maisha ya kufikiria yaliyopita. Songa mbele na Mungu akupe imani iliyokuu.

Kama hujaoa Fanya mpango uoe kabisa na mzae chap chap ili usiwe unakumbuka yaliyopita ya Janeth.

Mtu akifa haijawahi tokea akarudi. Nilikuwa nampenda mama yangu hujawah ona alivyofariki nilipoteza kabisa uelekeo hadi shule sikuweza kusoma maana yeye ndo alikuwa ananilipia kila kitu, baada ya miaka 3 mbele sijui nini kilitokea nikanyanyua na kuanza upya safari ya maisha wanaonifahamu huwa hawaamini km ni mimi, na mpaka leo kifo kikitokea nitasikitika wakati huo baada ya siku mbili tatu hakika nasonga mbele kwa speed.

Mtu akishafariki harudi. Usikubali kubakia huko kwa Janeth songa mbele katika mahusiano.
Nasukuru ndugu yangu.
 
Maisha ni changamoto sana. Kila mmoja ana namna yake ya kusafiri kwenye haya maisha, kikubwa uzima ili haya mengine tuweze fanya handling!
Shukrani cna,ndugu yangu.
 
Jua kusoma alama za nyakati katika mahusiano, usisubiri hadi uumizwe kabisa.
Kuna watu mna mioyo ya super glu aiseeee mimi mwanamke akinitukana natukana halafu inabaki history tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Pole sana bro mm yalinikutaga nipo chuo mwaka wa tatu nilipenda aise... hakika nilipenda na tangu nilipopona moyo mpka leo sijawahi penda tena japo napata mwanamke anaenipenda na kudhihieisha ila sijaweza kupenda tena nahisi moyo ushakufa siku nyingi yaani.


Mchumba hasomeshwi..ni kuingilia majukumu ya wazazi wake ama ndugu zake na wanawake hawanaga shukran most of hawa watu..
 
Mkuu kwanza pole sana, but inaonekana ndio first time kuwa katika mahusiano lakini humu ndani wadau mbali mbali kila siku wanatoa mabandiko kuhusu suala la kusomesha mpenzi wengi wamelia na kusaga meno so watu tujifunze kupitia mabandiko aya ila ulijiwekeza sana kwa uyo janeth lakini hawa wanawake sijajua wana shida gani hatujui waliongea nini na shetani siku ile all in all tafuta mke oa maisha yaendelee
 
Ungetia mimba kwanza walau uache chata au unfeoa then ndio uende kusoma. Mimi huwa siamini long distance relationship.

Bro mwanamke anahitaji afanyiwe maamuzi ya haraka haitaji kusubiri subiri ni wachache wenye uwezo huo wa kusubiri. Muda alokya anasoma ameshakusubiri vya kutosha yeye anamaliza chuo anajua kuna kitu anategemea kuja kukipata. Anategemea atakua free na wewe. Anategemea mtakua na muda mzuri pamoja. Anategemea hakutakuwa tena na zile discussion zilizokuwa zinambana mpaka akawa anakukosa. Sasa wakati yeye anawaza ivyo wewe ndio unanenda kusoma tena nje ya nchi. Anafahamu vizuri vyuo jinsi vilivyo kwa sababu hata naye amepita humo.

So mi nahisi yeye ndio aliona anaelekea kukupoteza na ndio maana alifanya uamuzi wa mapema aloona unamfaa yeye.

Mwisho pole sana. Piga moyo konde songa mbele mkuu.
 
Msisomeshe wasio wake zenu...

Ukifanya hivyo basi hesabu kama watoa msaada tu...
 
Back
Top Bottom