This is M7-JK !!!

AK-47

JF-Expert Member
Nov 12, 2009
1,373
199
Soldiers, nurses, teachers pay up


President Yoweri Museveni has promised nurses and teachers a salary increment in the next financial year.


Others who will benefit from a pay rise are soldiers and other security personnel.


The President said due to the nature of their work, they deserved the increment.


He added that the Government had the capacity to take care of its employees, adding that it had hit a tax collection base of sh5,000b.


Recently, the Government announced that teachers in hard-to-reach districts will receive a hardship allowance amounting to about sh60,000.

Source: The New Vision
 
Wafanyakazi wa TZ mlie tu, na hivi wahisani wamepunguza kiwango wanachochangia kwenye bajeti!! Nadhani sana sana ongezeko litakalokuwepo ni ONGEZEKO LA KODI.

Jambo ambalo sielewi ni: kwa nini bajeti ya Tanzania itegemee wahisani kiasi kwamba wakibeep kidogo serikali yote inashtuka? Mbona Kenya wanaweza? Halafu hamna plan B jamani?

What we need is a major revamp of this so-called 'government'!!
 
Ni aibu sana kwa Serikali ya JK, hawa watu sijui ni viziwi au vipofu wasiotaka kuona wala kusikia yanayoendelea kwenye nchi nyingine mfano Rwanda, hiyo ya Uganda ni moja kati ya mifano michache.
 
Soldiers, nurses, teachers pay up


President Yoweri Museveni has promised nurses and teachers a salary increment in the next financial year.


Others who will benefit from a pay rise are soldiers and other security personnel.


The President said due to the nature of their work, they deserved the increment.


He added that the Government had the capacity to take care of its employees, adding that it had hit a tax collection base of sh5,000b.


Recently, the Government announced that teachers in hard-to-reach districts will receive a hardship allowance amounting to about sh60,000.

Source: The New Vision
Ninasikia kwamba mke wake anataka kugombea uraisi...Ndio campaign zimeanza? lakini kama nurses na teachers watanufaika hakuna ubaya.
 
sasa hiyo allowance mbona kidogo sana, ni heri ongezeko la JK. Mseven katoa allowance gani hiyo takribani elfu 25 za tz
 
Back
Top Bottom