Satuuuu JF-Expert Member Joined Dec 3, 2015 Posts 1,849 Reaction score 1,994 Aug 27, 2016 Thread starter #2
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Aug 27, 2016 #3 hivi ni kweli!!
UHURU JR JF-Expert Member Joined Jul 24, 2014 Posts 17,476 Reaction score 8,765 Aug 27, 2016 #4 Wenyewe wanaelewana tatizo si sie ujinga na umasikini ndiyo unatusumbua tu,hata sass hivi tukiambiwa Magufuri alikuwa havunji katiba tutakubali kwani tumeshakubali mangapi!
Wenyewe wanaelewana tatizo si sie ujinga na umasikini ndiyo unatusumbua tu,hata sass hivi tukiambiwa Magufuri alikuwa havunji katiba tutakubali kwani tumeshakubali mangapi!
MJUMBE WA AMANI JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 262 Reaction score 238 Aug 27, 2016 #5 Inapendeza sana, utaifa mbele maslai binafi nyuma...that's great.
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,935 Reaction score 10,559 Aug 27, 2016 #7 Wanaojiatambua naa kujua siasa nini wanakaa na kucheka pamoja njoo sasa humu uone misukule ya Lumumba Na ufipa inavyotukanana
Wanaojiatambua naa kujua siasa nini wanakaa na kucheka pamoja njoo sasa humu uone misukule ya Lumumba Na ufipa inavyotukanana
L Levictus JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 646 Reaction score 524 Aug 27, 2016 #8 Kingsharon92 said: Wanaojiatambua naa kujua siasa nini wanakaa na kucheka pamoja njoo sasa humu uone misukule ya Lumumba Na ufipa inavyotukanana Click to expand... πππππ
Kingsharon92 said: Wanaojiatambua naa kujua siasa nini wanakaa na kucheka pamoja njoo sasa humu uone misukule ya Lumumba Na ufipa inavyotukanana Click to expand... πππππ
tejateja JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 1,626 Reaction score 979 Aug 27, 2016 #10 Nini kinajiriiii?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,240 Aug 27, 2016 #11 Kuna kada wa ccm kalalamika eti kwani Pombe anaongea na Lowasa. Sijui alitaka wapigane?
Magonjwa Mtambuka JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 33,870 Reaction score 32,650 Aug 27, 2016 #12 Daudi Mchambuzi said: Kuna kada wa ccm kalalamika eti kwani Pombe anaongea na Lowasa. Sijui alitaka wapigane? Click to expand... Kada mwingine wa chadema, tena humu humu, tayari ameshaanza kumtilia shaka Lowassa; eti iweje anaongea na maccm. Sijui alitaka wazikunje?
Daudi Mchambuzi said: Kuna kada wa ccm kalalamika eti kwani Pombe anaongea na Lowasa. Sijui alitaka wapigane? Click to expand... Kada mwingine wa chadema, tena humu humu, tayari ameshaanza kumtilia shaka Lowassa; eti iweje anaongea na maccm. Sijui alitaka wazikunje?
Satuuuu JF-Expert Member Joined Dec 3, 2015 Posts 1,849 Reaction score 1,994 Aug 27, 2016 Thread starter #13 Aliposema atawalinda waliomtangulia hakukosea Ila kikubwa ktk hili la Leo Mh.Magufuli kasema imekua ni muujiza Leo kwa kushikana mkono na Mh.Lowasa
Aliposema atawalinda waliomtangulia hakukosea Ila kikubwa ktk hili la Leo Mh.Magufuli kasema imekua ni muujiza Leo kwa kushikana mkono na Mh.Lowasa
paulndasi9 Member Joined Aug 8, 2014 Posts 83 Reaction score 9 Aug 27, 2016 #14 Mange kimambi povu linamtoka huko insa siasa mchezo huu hauitaji hasira ukiwa na hasira utaumia sana