Sijui kunatatizo gani la media za bongo 'online' gazeti la Mwanahalisi pia halijawa updated toka 21 Mei 2008, gazeti la Mwananchi ndo limerudi juzi baada ya kukosekana mwezi mzima. Tanzania Daima wapi fit sasa, nadhani ma-webmaster wachunguzi tatizo na kulirekebisha kuna watu wanawachezea kamchezo kabaya.