REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Warafiti nguli wa masuala ya kiuchumi na kisiasa duniani kutoka Marekani na Uingereza wametoa matokeo ya tafiti zao juu ya hali ya siasa nchini Tanzania baada ya kuziendesha kwa zaidi ya miaka miwili juu ya hali ya kisiasa nchini
Taasisi hizo nguli ulimwenguni zimetoa report ambayo #TheFinancialTimesTZ imeipata nakala zao (zipo kwenye link) kwamba Rais Magufuli atapata ushindi mkubwa zaidi wa 2015 kwenye uchaguzi unaotegemewa kufanyika 2020 na kuaminiwa kushinda kwa zaidi ya 65% huku chama chake cha CCM kikidaiwa kuzidi kua na ushawishi nchini na kuendelea kushika dola kwa awamu nyigine nyingi zijazo kutokana na watanzania wengi kuzidi kukiamini.
PRESIDENT John Magufuli is widely expected to win re-election next year despite impressive gains made by the opposition in the 2015 general election and the likelihood of a slowdown in economic growth, according to new reports./(link: https://www.ippmedia.com/en/business/why-magufuli-will-win-second-term-office) ippmedia.com/en/business/wh…
Taasisi hizo nguli ulimwenguni zimetoa report ambayo #TheFinancialTimesTZ imeipata nakala zao (zipo kwenye link) kwamba Rais Magufuli atapata ushindi mkubwa zaidi wa 2015 kwenye uchaguzi unaotegemewa kufanyika 2020 na kuaminiwa kushinda kwa zaidi ya 65% huku chama chake cha CCM kikidaiwa kuzidi kua na ushawishi nchini na kuendelea kushika dola kwa awamu nyigine nyingi zijazo kutokana na watanzania wengi kuzidi kukiamini.
PRESIDENT John Magufuli is widely expected to win re-election next year despite impressive gains made by the opposition in the 2015 general election and the likelihood of a slowdown in economic growth, according to new reports./(link: https://www.ippmedia.com/en/business/why-magufuli-will-win-second-term-office) ippmedia.com/en/business/wh…