Think of this Hypothetical situation

Think of this Hypothetical situation

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,763
Reaction score
100,824
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
 
Mimi sitokubali mpaka waanze kwanza wasababishi wa Yale ambao ni chadema na kitima & co.
 
Wauwaji wote wawajibike kwa mujibu wa sheria na haki za binadamu !

ICC ni lazima
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
to me,
I must say very sorry gentleman,
this is stupid and nonsense hypothetical article of the day politically speaking :1Head:

 
Rais Fake Kapatikana kwa kura Fake na kapatikana kimiujiza yani kura zilipigwa Milioni 32.7 kwa muda wa saa 6 pekee.
Zikahesabiwa ndani ya saa 72 .
maana yake kura 126 zilihesabiwa kwa sekunde 1 na kura 7569 kwa dakika moja tu.
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
Samia fate yake ni kifo au ICC achague moja.

Matukio ya maandamano ya October 29 yaliandaliwa kwa namna ambayo Samia alitakiwa aachie ngazi before it was too late. Akashupaza shingo
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
Next time usiweke huyo mtu na Msamaha kwenye sentensi moja.

Kiburi alichonacho ni kikubwa kuliko Busara alizonazo.

Be a Man, acha kuota ndoto mbaya na ujikite kwenye uhalisia wa kupambana na mfumuko wa bei ili ujikimu wewe na familia yako.
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
Impossible mission ❌📌
 
Kwani mtafanya nini endapo hayo yasipo fanyika??
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....

Kisiasa jambo hilo haliwezekani kwa muktadha wa kiafrika.

Rais wa malawi na washirika wake hawawezi kuthubutu kujitia kitanzi kwa kufanya jambo kama hilo. Hilo ni jaribio la kujiua mwenyewe.

Yaani uue watu, udhulumu watu, ujikusanyie mali kwa miaka nenda rudi alafu ufanye kosa kama hilo. Hakuna wa kufanya hivyo.

Njia waliyoichagua ndio njia sahihi na salama kwa upande wao. Itawalinda kwa muda.

Na kama misuli na stamina ya watu itakuwa hafifu basi hiyo itakuwa ushindi kwao milele na kizazi chao.

Hapo sio ishu ya nani Mshindi. Ishu ni nani ana stamina ya mapambano kwa muda mrefu.

Kinachowapa moyo Rais wa Malawi ni akili za wamalawi za kutegemea Mungu. Hilo kwao linawapa moyo sana.

Kwani Mungu hawezi kuwasaidia wana malawi. Wanamalawi watajisaidia wenyewe
 
Mimi sitokubali mpaka waanze kwanza wasababishi wa Yale ambao ni chadema na kitima & co.
Wakati huo yanatokea 70% ya viongoz wakiwa ndani, chama wakati huo kimepigwa marufuku kufanya shughuli za kisiasa.
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
Haitotokea why, si kwamba wananch hawampendi ila cycle inayomzunguka and mostly waliomuweka hapo
 
Next time usiweke huyo mtu na Msamaha kwenye sentensi moja.

Kiburi alichonacho ni kikubwa kuliko Busara alizonazo.

Be a Man, acha kuota ndoto mbaya na ujikite kwenye uhalisia wa kupambana na mfumuko wa bei ili ujikimu wewe na familia yako.
Acha upuuzi wa kufikiri kilofa! Wabongo bwana, kila fikra ni kula! Achana na kula, kuna zaidi ya kula duniani. Kumbe ni Milin, basi Idd inakuja utakula
 
Njia pekee ya kumaliza yote hayo ni kufa na wafuasi wake maana akikiri haya uliyoyasema tafsiri yake ni kakubali kuwa muuaji, mtekaji na mnyanyasaji.... Hana pakutokea lazima afe tu!!.
 
1. Suppose Rais wa Malawi anakuja hadharani na kuomba radhi kwa yaliyotokea 29.10.2025
2. Akiomba msamaha, akiomba tuanze ukurasa mpya.
3. Akatoa Katiba mpya as propounded by Warioba
4. Tume huru ya uchaguzi kama ya Kenya at least.
5. Akaahidi fidia kwa wahanga
6. Fukua makaburi watu wazike wapendwa wao!

Swali, je mtakubali msamaha huo?

IF IT WERE YOU, utakomaa na ICC?

HYPOTHETICAL.....
Nikipata maoni ya Lucas na Tlatlaah hapa nitachangia neno.
 
Back
Top Bottom