Nazjaz, umesahau na haya;
Zanzibar kabla na baada ya uhuru ilikuwa na njia za reli,
Mwalimu (RIP) akazing'oa na kuzihamishia bara.
Zanzibar ilikuwa na mbuga za wanyama,
Mwalimu akawahamishia Serengeti na Mikumi.
Zanzibar ilikuwa na maprofesa waliobobea,
Mwalimu akawahamisha wafundishe bara.
Zanzibar ilikuwa na vyuo vikuu kadha wa kadha,
Mwalimu akavifunga vyote na kuanzisha UDSM.
Zanzibar ilikuwa huru chini ya Sultani Rhamshid Ibn
Abdullah, Mwalimu akafanya njama na kumng'oa.
Bahati Wazanzibari wamepata mkombozi mpya
Kwa jina Jakaya Mrisho Kiwete na uhuru uko njiani.
Lazima tuhakikishe haya yanaingia Wikipedia
Na historia mpya ya Tanzania inaandikwa, loo !
Kaaaaaaaaazi kweeeli kweeeeeeli !