jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
And people from Mars are cowards?
ulitakiwa ujibu
"Women are from venus"....
Hilo la u-cowards sidhani kama linaingia hapo, ni tafsiri tu ya tofauti zetu za msingi.
And people from Mars are cowards?
Alikuwa anaunga hadi na nazi....
Ilichukua muda mrefu,siku moja kuna mahali tuliwatembelea watu.. Tukashinda huko..
Walipika mboga mbalimbali..
Tuliporudi home,tukaanza kuongelea ile visit kwa ujumla... Mi ndiyo nikapata kuchomekea kuwa nilipenda mapishi yao ya mboga za majani...
Yeye akaponda,na kusema ni mojawapo ya aina ya mapishi ya mboga za majani asiyoipenda..nikamwacha tusigombane...
ulitakiwa ujibu
"Women are from venus"....
Hilo la u-cowards sidhani kama linaingia hapo, ni tafsiri tu ya tofauti zetu za msingi.
Ubaya ni kwamba sipendi kufuata tu kitu kisa kimesemwa na kuzoeleka. Wewe umeniambia sababu ya nyie kushindwa kuongea ni kwamba mnatokea Mars (I'm familiar with the saying) sasa nnachotaka kuelewa kutoka kwako ni kama nyie ni cowards au la!!
Sio ubaya, huo ndio uzuri wako binti weye wa .....!
na nadhani ndio ninachokifurahia kuhusu wewe.
Hilo la u-coward sijui linatokea wapi hapo ila unaweza ukawa sawa tu kama ndio namna yako ya kueleza tofauti za wanaume na wanawake...
NB: "Men are from mars, Women are from Venus" ni kitabu cha John Gray kinafafanua tofauti za msingi kati ya wanaume na wanawake na namna ya makundi hayo ku-deal pamoja bila hizo tofauti kuathiri jinsi nyingine....
Kitabu kizuri sana
Hehehhe ahsante. Nad if you don't mind me asking. . . kwanini unaamini/dhani hao unaohusika nao wewe hawawezi kuhandle ukweli?
Binafsi napenda hivyo kwasababu kwanza mnamalizana mapema badala ya kusubiri agundue baada ya wiki/miezi ya wewe kutofurahia kula nyumbani, pili inanipunguzua mimi maswali na kusumbuka kuguess vitu ambavyo sina uhakika navyo.Yani ni rahisi zaidi kwa pande zote mbili.
Ngoja nikwambie namna ambayo naweza nikatafsiri hayo matukio tofauti na matarajio yako.
. .Hotelini. . . unakula kuhakikisha unamaliza kila kitu kwasababu umelipia. Kuna watu wa aina hiyo. . . yani akilipia hata soda moja kwa moja atahakikisha anamaliza hata kama tumbo haliruhusu.
. . Kwa ndugu . . hutaki wakuseme kwamba huli. Kwahiyo unajitahidi ili kuwaridhisha.
. . Kwangu. . . unajisikia huru kwahiyo huna haja ya kujilazimisha umalize wakati hujisikii.
Yani unachotegemea mwenzako agundue sijui ahisi kinaweza kikawa tofauti kabisa. Ndio maana mimi napenda maneno zaidi.
Ha..ha..ha jinsi ulivyochanganua hizo scenarios umeniacha hoi..
Niliyekuwa naye alikuwa very sensitive so i had to handle her accordingly,she didn't have this strong character in her.That is what we call natural instincts that we human beings possess knowing what to do,to whom and when to do such thing.
Ila now am a super bachelor,life is much better.I call a square a square and a circle a circle.
We human!Kazi sana,we lost a lot of energy kujitafuta but,till Yes arudi hatutajijua kamwe!Tunachojua ni kutokujua!
Ofcourse I know that. . .there is only one me, but it doesn't mean wanawake wengine wote sio waelewa kiasi cha kushindwa kupokea suggestion ya namna gani wanaweza wakaboresha hili au lile.
TF...: Not all men have this tendency or habit....duhhhh TF kumbe ndo unafikiri hivyo ae.. haya bana...:A S embarassed: nimenuna jumla
jG bana mi sitaki kuongelea tofauti za kijinsia nataka tuongelee Uwoga. Nini kinachowafanya muwe waoga kuongea ukweli. . . uanaume wenu?
Hehehehehe nimechekelea kitu!!
Lolz....I guess hiyo ni baada ya round ya kwanza!He: i dont wana hurt u baby
meaning he cant do another round.
Hard to believe.. .. Anyway TA. ...TF...: Not all men have this tendency or habit....
Meaning: I (The Finest) am not like that.