Sio waarabuView attachment 806670
View attachment 806681
Maji maji 1
View attachment 806687
Maji maji 2
Unyama wa Mjerumani.
Ajabu leo tukiwakandamiza kuna genge linageuka watetezi wao na mbaya zaid wanakuwa wanawadharau wenzao na kuwasifia hao wazungu..Inasikitisha sana...
Ila tuliwakaribisha wenyewe, ambavyo mpaka sasa bado tunarudia makosa hayo hayo...
Cc: mahondaw
TumerogwaHawa watu weusi walikuwa wapumbavu kabisa.. yaani wenzenu wanyongwe hivi tu halafu nyie mnatizama? Kweli wakoloni walitudharau sana.
Hayo lakini hayajaisha.. bado yapo.. eti watu wasiojulikana wanauwa watu halafu na sisi tupo tu tunatoa mimacho.. halafu kesho tunajiita wanaume.. mie sielewi kabisa akili za waafrika huwa zikoje
we acha tu, tena unakuta myongaji ni mwafrica mwenzenu aliyepewa ukiranja na mzungu. lakini ndio dunia ilivyo, leo hii polisi anaweza kuwapiga risasi watu wa kijijini kwao kwa amri ya mwanasiasa kwakua analipwa na amepewa uniform na bunduki hivyo anajiona ni sehemu ya utawalaHawa watu weusi walikuwa wapumbavu kabisa.. yaani wenzenu wanyongwe hivi tu halafu nyie mnatizama? Kweli wakoloni walitudharau sana.
Hayo lakini hayajaisha.. bado yapo.. eti watu wasiojulikana wanauwa watu halafu na sisi tupo tu tunatoa mimacho.. halafu kesho tunajiita wanaume.. mie sielewi kabisa akili za waafrika huwa zikoje
UmewachokozaRIP wanaume wa shoka. Nowdays wanaume wameisha dar hata ugali hawawez kumeza