There's more to web development than PHP

There's more to web development than PHP

Huitaji kusoma lugha zote unachohitaji Ni ku master lugha kwa ajili ya kazi. Lugha zengine utazijua tu ukishakuwa na uelewa na kitu kinaitwa program logic.Ukisha master program logic hata kma lugha iwe ngeni vipi ukiona tu source code unapata hint kuwa hiyo Ni constructor na hi ni for loop.The rest itakuwa Ni kukaa na reference tu ukiichunguza source code. Alfu bro acha uongo Nani kasema kuwa ukijua python una broad knowledge ya programming ?? Programming Ni kitu deep kuliko syntax ya lugha.Mi cjui lecture gani kakuambia kuwa ukijua lugha nyingi ndo unaweza changia kwenye project nyingi maana watu wanajua Java lakini waleteee project ya computer vision hapo kama hawata kimbia kurudi kwenye web development
All in all bro their is more to programming than hzo syntax za lugha

programming is more than Syntax, lakini si kweli kuwa kuelewa Language zaidi ya moja ni kosa, Hakuna computer Scientist, Programmer etc, ambaye anajua Language moja, Mfano Apple wana Objective-C, Swift etc, Google wana Golang, Python, Java, kotlin, Dart, Microsoft wana C#, TypeScript VB etc na zote wanazitumia kwenye Project zao

kumbuka kila lugha ni nzuri kwenye kazi flani, alafu si kweli unaweza kumaster lugha moja completely hata Linus Tovald mungu wa C wala Assembly
 
programming is more than Syntax, lakini si kweli kuwa kuelewa Language zaidi ya moja ni kosa, Hakuna computer Scientist, Programmer etc, ambaye anajua Language moja, Mfano Apple wana Objective-C, Swift etc, Google wana Golang, Python, Java, kotlin, Dart, Microsoft wana C#, TypeScript VB etc na zote wanazitumia kwenye Project zao

kumbuka kila lugha ni nzuri kwenye kazi flani, alafu si kweli unaweza kumaster lugha moja completely hata Linus Tovald mungu wa C wala Assembly

Ndo shida ya kuwa programmer au cs sometimes unakuwa theoretical sana mpaka unasahau practicality.Ckia bro nakushauri anza kusoma software engineering ndo utaona kwanini kitu kinachoitwa program logic ni muhimu sana.Mimi sijawahi kusoma Golang lakini ukiniletea source code ntapata hints kwasababu ya program logic.Kinachobakia ni kuchukua dcumentation na kufanya reading.Ukiwa mtu wa cs unapata illusion kuwa unaweza soma lugha zote hzo lakini ukishaanza kusoma software engineering unaona kabisa kuwa kusoma lugha zote hzo kiundani ni sawa sawa na kujifunza lugha zote duniani ili umsalimie mjomba kwa njia tofauti
 
Ndo shida ya kuwa programmer au cs sometimes unakuwa theoretical sana mpaka unasahau practicality.Ckia bro nakushauri anza kusoma software engineering ndo utaona kwanini kitu kinachoitwa program logic ni muhimu sana.Mimi sijawahi kusoma Golang lakini ukiniletea source code ntapata hints kwasababu ya program logic.Kinachobakia ni kuchukua dcumentation na kufanya reading.Ukiwa mtu wa cs unapata illusion kuwa unaweza soma lugha zote hzo lakini ukishaanza kusoma software engineering unaona kabisa kuwa kusoma lugha zote hzo kiundani ni sawa sawa na kujifunza lugha zote duniani ili umsalimie mjomba kwa njia tofauti

so you can understand the Assembly bila kujua how hardware works??
 
so you can understand the Assembly bila kujua how hardware works??
haha bro the only knowledge ya hardware unayohitaji kujua katika assembly ni architecture ya hyo processor from a programmers point of view vitu kama stored program concept ,instruction set architecture, memory adress modes .Huitaji kuenda ndani ya hardware kabisa mpaka kwenye abstraction level ya flip flop circuits na logic gates.Hzo zilikuwa enzi hzo za kina dennis Ritchie ambao walikuwa wana program assembly kwa kutumia real address mode ambayo ilikuwa inampa mtu uwezo wa ku program kitu ambacho kina communicate directly na hardware.Now days bro ni protected mode na kuna protection rings hugusi hardware bila kutumia system calls.

mfano main PROC
push Eip
push eax
push esp
mov ebp,esp
...
INVOKE IgnorantProgrammer
......
RET
main endp
end

the only knowledge utayohitaji kuelewa hapo na ISA na architecture (registers, opcodes na vitu vengine)from a programmers point of view kujua kuwa hzo code hapo juu ni maandaliz ya ku execute function IgnorantProgrammer kwenye harware stack ya intel based processors.Hiutaji kuwa hardware mpaka kwenye level ya logic gates.
Unless maybe unatengeneza critical software kama za kwneye roovers za NASA au Operating system kusoma harwdware kiundani ni a wastage of your time sababu hautakuja tumia hzo knowledge za transistor as a application programmer
 
aac4d6d7a0cddcd81774714d74e7829c.jpg

09da5635b958f9f3e1095acaf73487c4.jpg

80c0580a536ec1fb39609781e522ce1f.jpg


All PDF android app ni app ya kufungua faili za PDF na zana kibao za PDF naendelea kutengeneza, Tafadhali toa maoni kipi kiongezwe
 
Logo ni ya Apple's Swift.
Hizi Erlang and the likes ni very powerful ila ni moja ya languages zenye resources chache online, inafanya learning kua very steep na slow production kama unataka kuandika huge software, I think kwa kua hazina much support kama the likes of Java. I might try to learn Elixir in the future.

Mkaka unaonekana uko nondo!!!
Miaka 30 naweza kujifunza kuwa gopd sofware developer ama it is too late for my age!!!
 
Nimeona hiyo display picture inafanana na logo ya Phoenix ndio maana nikauliza. Elixir is a very beautiful language

Eti kaka, na miaka yangu 30 naweza komaa jifunza kuwa good software developer ama nishachelewa sana. Nina hamu, ninataman
 
Mkuu kwenye upande wa Web designing, PHP ni kiboko yao, naitumia kwa miaka kadhaa sasa, ni rahisi kuielewa, inaload faster, inacommunity base support ya kutosha world wide (zaidi ya 79% ya websites zote duniani zinatunia PHP), na zaid ya yote ni free tofauti na web pogramming nyngne kama ASP ambayo inamlazimu mtumiaji kulipa pesa kibao kupata features ambazo huenda angeweza kuzipata kwenye php na zaidi.

Hapo kwenye suala la kupunguza uvivu sina uhakika umemaanisha nini, kwangu mimi haijalishi ni lang gani umeisoma vizuri mwisho wa siku most of them works alike, haina maana kusoma Programming languages zaidi ya kumi mwisho wa siku zote ukazigusa nusunusu, kwani hii field inahitaji time yakutosha kuupdate your skills, kufanya testing n.k.

Don't let your tools define you.

Kaka Graph umeona majibu mujarabu hata!!! Namie nataka kuwa programmer wa kufanya mtu. Niwe maarufu, niwe napata tenda, watu wawe wananisifia "mdada anajua coding huyo balaa"
 
haha bro the only knowledge ya hardware unayohitaji kujua katika assembly ni architecture ya hyo processor from a programmers point of view vitu kama stored program concept ,instruction set architecture, memory adress modes .Huitaji kuenda ndani ya hardware kabisa mpaka kwenye abstraction level ya flip flop circuits na logic gates.Hzo zilikuwa enzi hzo za kina dennis Ritchie ambao walikuwa wana program assembly kwa kutumia real address mode ambayo ilikuwa inampa mtu uwezo wa ku program kitu ambacho kina communicate directly na hardware.Now days bro ni protected mode na kuna protection rings hugusi hardware bila kutumia system calls.

mfano main PROC
push Eip
push eax
push esp
mov ebp,esp
...
INVOKE IgnorantProgrammer
......
RET
main endp
end

the only knowledge utayohitaji kuelewa hapo na ISA na architecture (registers, opcodes na vitu vengine)from a programmers point of view kujua kuwa hzo code hapo juu ni maandaliz ya ku execute function IgnorantProgrammer kwenye harware stack ya intel based processors.Hiutaji kuwa hardware mpaka kwenye level ya logic gates.
Unless maybe unatengeneza critical software kama za kwneye roovers za NASA au Operating system kusoma harwdware kiundani ni a wastage of your time sababu hautakuja tumia hzo knowledge za transistor as a application programmer

Kaka stormryder umepigwa za USO na huyu kaka. Amepangua hoja zako mpaka umekimbia ulingo.

We ngoja tu, namie after two years nitakua software developer wa kuogopwa.

Nataka nianze na web development, then nakuja kwa Java, C/C++
 
Mkaka unaonekana uko nondo!!!
Miaka 30 naweza kujifunza kuwa gopd sofware developer ama it is too late for my age!!!

Miaka 30 sio late kabisa kua developer.
Pata introduction into programming, unaweza anza na course ya CS50 ya harvard, ni video course inakupa introduction moja nzuri sana. Baada ya hapo unachagua unataka kuconcentrate kwenye nini, mfano kama ni mobile development android au ios, then unachagua language moja unaanza kusoma, mwanzo mgumu ila trust me in a year unaweza tengeneza software from scratch.
Ugumu ni kujisukuma kuhakikisha unavuka stage flani, mwanzoni unaweza soma kitu mara mbili usielewe, hadi urudierudie ndiyo kinaanza kumake sense
 
Nimeamua kuanzisha huu uzi baada ya kuona karibia kila developer ninayekutana naye mtanzania tools zake backend: Php + MySQL, frontend: HTML/CSS/JavaScript.

Ok sawa, Php is a great language ndiyo, ni popular next to Javascript kwenye web development. You can do a lot of things with Php, Ila hata php yenyewe wanavyoitumia ni rough tu, hakuna code arrangement, hakuna kufata pattern flani, kama mtu anafanya OOP unaangalia the code is everywhere hakuna classes, objects zinakua created on the fly tu, tena wengine hadi identation tu ni shida, yaani ukichukua project ukiiangalia unaona ni bora uanze tu kuifanya upya from scratch.

Tatizo ninahisi ni uvivu wa kujisomea, hakuna chuo duniani utaenda wakufundishe proper ways of programming, how to arrange your classes, reuse your code e.t.c, watakufundisha fundamentals tu, kukuonyesha what the computer is capable of, what are the limits, how stuffs work, vitu vingine kama efficiency of algorithms, how to think like a programmer basi. Mambo ya real life programming inabidi ujifunze mwenyewe, kuna sources nyingi sana online.

Kuna languages nyingine za kutumia kwenye backend ambazo zinaweza achieve even better results kuliko php kwenye mambo mengi tu, popular ones Go, Node.js (JavaScript) , Python, Java. Wengi nimeona mna uoga sana wa kujifunza kitu kipya, kama hupendi kujifunza huoni kama ulichagua a wrong career? Hii ni industry ambayo haito-stop kukua, either unajifunza every day au unakua left behind, its that simple.

Kingine kinachonikera, watu kuogopa linux na command line, sio mbaya kuhost projects zako kwenye hosts ambao unatuma tu php files then everything works, ila ukiishia hapo una tatizo, Jifunze linux na kutumia command line vuzuri, jifunze kuhost your own machine, ingia hata amazon cloud chukua EC2 instance wanakupa offer ya kuhost bure mwaka mzima, cheza na zile machine ujifunze vitu vya muhimu kama load-balancing, scaling up and down of servers, data backup ya database yako, na mjifunze pia hadi caching, kuna tools za ku~cache kama Redis, Memcache, mambo kibao ya kujifunza ambayo yanaweza kufanya web apps zenu ziwe much much better. Na command line sio kwa ajili ya kuhost machine tu na kudiscover files, kuna apps kama vim, unaweza change code on runtime kwenye server, kama kuna tatizo unalifix from anywhere, very convenient.

Namalizia na client side, There's more to frontend development than jQuery, kuna tools kama React, AngularJS, Polymer, watu wanajua jquery tu. Jifunze tool kama React you won't regret it, personally I think React ndio the way the DOM was supposed to be manipulated, kila kitu kwenye its own component, very easy to work with. And please minify your javascript files, ikiwezekana tumia tools za kucombine all your scripts into a single file na kuliserve hilo moja, mkito walikua na hili tatizo you could hack and download a song kwa kubadilisha a single value kwenye their javascript code nikajiuliza hivi they don't even double check kwenye server side pia before serving you the file, naona walishafix hili tatizo siku hizi.

Tupunguze uvivu.
GREATY
 
Back
Top Bottom