Theory ya UKINAIFU

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Sep 29, 2012
3,401
1,604
Hii theory inasema ''mtu au kitu chochote kile ulichokipenda mwishowe kina kukinai hivyo unakuwa unahitaji kitu au mtu mpya''

Kwa mfano: Ulikuwa unaipenda sana blackberry lakini leo hii imekukinai, unaona zimetoka simu mpya. Ulikuwa unaipenda sana gari aina ya OPA lakini badae imeku-kinai unataka Verosa. Ulikuwa unapenda sana uje kufanya kazi bank asahv pame-kukinai unataka kazi sehemu nyingine.

Wataalam wa theory hii wanaenda mbali zaidi kwa kusema uhusiano wa watu mara nyingi unavurugika kwakuwa kuna kuwa na hali ya ukinaifu, ulikuwa unampenda sana mkeo au mmeo lakini badae una-mkinai.

Wanaopinga theory hii wanasema kuwa; theory hii inatumiwa na walevi pamoja na wazinzi kuhalalisha uhuni wao kwani kitu ulichokipenda huwezi kuku kinai, watu hawa wanadai ''mbona mama zetu wazazi tunawapenda lakini hatuwakinai?''

UPI msimamo wako mwanajf?
 
hii ni theory ya kibazazi ,mimi naikubali but kupenda huko sijakuelewa naomba utofautishe kati ya upendo wa kingono(sexual attractiveness) na upendo wa mama/baba na mwanae, am 100% sure they are quite different
 
hii ni theory ya kibazazi ,mimi naikubali but kupenda huko sijakuelewa naomba utofautishe kati ya upendo wa kingono(sexual attractiveness) na upendo wa mama/baba na mwanae, am 100% sure they are quite different

Simama upande wako kisha jenga hoja, wewe unaonekana ni supporter wa hiyo theory na indirectly umepinga hoja ya wakosoaji wa hiyo theory.
 
Simama upande wako kisha jenga hoja, wewe unaonekana ni supporter wa hiyo theory na indirectly umepinga hoja ya wakosoaji wa hiyo theory.

nimekupa challenge as long as theory(means sio law) ina critiques(strength) na weakness zake ndo maana bado ni theory
 
swali.

umeongelea kuhusu items na love life, likini una conclude kwenye love life only, why?
 
hii ni theory ya kibazazi ,mimi naikubali but kupenda huko sijakuelewa naomba utofautishe kati ya upendo wa kingono(sexual attractiveness) na upendo wa mama/baba na mwanae, am 100% sure they are quite different
Diminishing return hii theory iko kwenye Uchumi kuna ukweli mkubwa ndani yake.
 
Diminishing return hii theory iko kwenye Uchumi kuna ukweli mkubwa ndani yake.

uchumi na mapenzi9aina zote) ni sawa?hembu kuna kichwa kwanza uone ninachoulizia hapo juu ili tujitofautishe na wale wa FB
 
nimekupa challenge as long as theory(means sio law) ina critiques(strength) na weakness zake ndo maana bado ni theory

kunipa challenge mimi unapoteza muda wako bure mkuu, unatakiwa ku-challenge theory husika. Kwa kawaida huwa hatuiishi ku-challenge unatoa mapendekezo yako binafsi
 
mmmmnh mnachonisha ni pale unaona umekinai/kinaishwa afu hufanyi lolote about it....unabaki kuwa mtu wa gubu tuuu kumfanya mwenzio maisha yake yawe living hell.....................:suspicious:
 
diminishing marginal utility inahusika hata kwenye mapenzi. Ni kujitahidi kutafuta jinsi ya kuamsha penzi hilo.

Lakini kila theory ina exeptions, wengine tunaamini katika addiction theory, kila unapotumia kitu, unazidi kuwa tegemezi wa kitu hicho. Mfano pombe, unga n.k. Mfano wa penzi kama hili ni lile la Whitney kwa Bob.
 
Back
Top Bottom