The world's most powerful people of 2015

The world's most powerful people of 2015

Wametumia vigezo gani kuandaa hiyo orodha?
 
Kwa maana hiyo unataka kusema Lowassa hana hivyo vigezo?
Utakuwa na matatizo ya akili wewe.

ushawishi unaoongelewa hapa ni ile idadi ya watu wanaoweza kufata kile unachosema ww.......

wanaweza kutajwa watu 100 wenye nguvu za ushawish dunian ukashangaa hakuna hata mwafrika mmoja!!

ila ingetajwa ya waafrika, well hapo tumeongea tofaut but ya duniani.....waafrika tuko nyuma sana....

huu ndo ukwel, ukwel unaouma!!
 
Vipi jirani,kovu limeshapona?Mie mpaka 2020 Insha'Allah,ni mwendo wa m4c,hakuna kurudi nyuma.

Nimeanza kurecovery bck to normal life" lakn uhalifu waliotufanyia kamwe sitaSamehe jirani" bcoz we live 2020 ipo..tutawatoa tu
 
1. Vladimir Putin
2. Angela Merkel
3. Barack Obama
4. Pope Francis
5. Xi Jinping
6. Bill Gates
7. Janet Yellen
8. David Cameron
9. Narendra Modi
10. Larry Page
Source: Forbes
Hii ni mara ya tatu mfululizo Putin kuongoza hii list

Putin ni kidume, namkubali sana huyu jamaa
 

Attachments

  • 1446720983561.jpg
    1446720983561.jpg
    16.2 KB · Views: 219
oh! number one Putin Again.Obama kadrop
 
Huyo number moja angekuwa rais wa awamu ya tano Tz. Ingekuwa safi sana.
 
Back
Top Bottom