The world’s richest people 2015

The world’s richest people 2015

Dr dre nilisoma ameuza ameuza dre beats co. kwa usd3.2bil,hio haimfanyi kuingia kwenye u bilionea

"To be a millionare you need to have just 2 millions" The same to Billionare.
 
Mkuu nimecheka sana maana nimeingia humu nikijua lazima kuna mdau atakuwa kaulizia bilionea wa Arusha na kweli nimekukuta wewe.
Mkuu we acha tu.
Nilivyoona hii post nikajua mabilionea wa Arusha watatawala hii list lakini sijaona hata jina moja!:heh:
 
duuh isingekuwa prof muhongo yule jamaa wa mitaji ya kuuza juisi chupu chupu angeingia kwa hii orodha
 
What about Rothschild Family? Nilisoma mahali, they worth 50,000 Trillion Dollars.

Mkuu huo Mtandao hauwezi kuelezwa kwa Jina moja tu japo kuna kujukuu kimekomaa kujiendesha kibishi bishi kimo kwenye orodha ya forbes...

Rothschild ni kubwa kuliko maelezo... kwani utajili wake unashikiliwa na hao hao mabillionea kweny hizo list za forbes Ukisikia IMF ukisikia Central Bank Dunia nzima umegusa roho ya Rothschild Even UN wao ndio Waasisi so unaweza ndio walinunua ardhi ya Palestine kuanzisha Taifa lake kuimagine uwezo wao hautakiwi kuzungumziwa kirahisi kama pesa za kina Bill gates.... Taasisi ya Illuminant Freemason ndio hutoa ma billionaire kwenye kila Nyanja kupitia kitu kiitwacho scholarship dunia nzima huchukua best student na kuwatrain na kuwafanya ma billionaire tunaowajadili humu
 
Back
Top Bottom