The world’s richest people 2015

The world’s richest people 2015

LeBron was hoping to be the first athlete billionaire.

Maybe he can take solace in the fact that Jordan is an ex athlete.

Sidhani kama atakuja kuwa bilionea huku bado akiwa mchezaji.

Labda baadae akishastaafu, in the next 6-8 years na akiendelea kuwekeza pesa zake vizuri kama alivyofanya kwenye Beats by Dr. Dre.

Look how long it took Jordan to become one. Magic hasn't even attained that status yet despite his entrepreneurship endeavors.
 
I think China is among the world richest economy with no richest people in the world, I like this, it's a symbol of an evenly growing economy.. I think China ikitangazwa uchumi I umekuwa kwa % kadhaa majority wanafeel the change.

Majority wana feel the change au serikali?
 
Majority wana feel the change au serikali?

Serikali ni ya watu walio wengi (uwakilishi wa wengi) na ya watu wa china ina serve mostly for the general public interest not for personal interest kama ilivyo maeneo mengi. hivyo maamuzi mengi (chanya) ya serikali hii yanatokana na mitazamo chanya ya wanaserikali na huwa na madhara chanya kwa wenyeserikali.
 
Serikali ni ya watu walio wengi (uwakilishi wa wengi) na ya watu wa china ina serve mostly for the general public interest not for personal interest kama ilivyo maeneo mengi. hivyo maamuzi mengi (chanya) ya serikali hii yanatokana na mitazamo chanya ya wanaserikali na huwa na madhara chanya kwa wenyeseruikali.

Jitahidi kutafuta taarifa zaidi, mfumo wa serikali aina ya CHINA ni mfumo kandamizi kwa wananchi wake kuliko mifume mingine, ni mifumo unayoua fursa za ububifu.
 
Mo Dewji namba 1500 forbes List akiwa na 1.3 bil $
Rostam namba 1741 duniani akiwa na 1bil $


Hili la Mo dewji nadhani kuna walakini mkubwa, mwenye mali ni Ghulam Dewj babake na Mo na ndio maana kluna wakati kwenye list anaonekana Mo na wakati mwingine anaonekana Ghulamu na mali zinazoorodheshwa ni hizo hizo.
 
System ya china toka kitambo haikuruhusu watu kujilimbikizia mali.

Kipindi hawa mabilionea nawaanza kuzimake china ilikuwa pure socialist economy.

Sasa wanaanza kuja juu, hope list zinazokuja watakuwa washaingia top 20
Jack Ma wa Alibaba Group Holding Limited huyu yumo top 20.
 
Hili la Mo dewji nadhani kuna walakini mkubwa, mwenye mali ni Ghulam Dewj babake na Mo na ndio maana kluna wakati kwenye list anaonekana Mo na wakati mwingine anaonekana Ghulamu na mali zinazoorodheshwa ni hizo hizo.

Sijawahi mwona Baba yake akiwa huko Forbes. Na kumbuka ndo mara ya kwanza Mo anaingia Forbes ya Dunia pia kuwa Billionaire in Dollars.
 
Sijaona cha maana Mo alicho nacho
Mkuu Bulldog Jack Ma made about $20 billion when Alibaba went public last year in US Wall Street.Siyo wa kawaida tena ila karibuni chinese govt walimletea chokochoko Kuwa the goods nyingine zinazouzwa online ni fake lakini tatizo ni kwamba Chinese govt didn't like Jack Ma coy going public in the US so they were targeting him lakini iliisha.

Wang JIANLIN ndiyo richest in China huku Jack Ma akiwa no 2.China is now no 2 with larger number of billionaires kashampita big brother wake ambaye ni Russia.Russia is now no 3,USA being no 1.


List of countries with 10 or more billionaires in 2014


1)USA is ranked no 1 with 492 Number of Billionaires,Richest of the country being Bill Gate

2)CHINA is ranked no 2 with 152 Number of Billionaires,Richest of the country being Wang JIANLIN

3)RUSSIA is ranked no 3 with 111Number of Billionaires,Richest of the country being Alisher Usmanov

Source:WIKIPEDIA
 
Wealth of World’s Billionaires Surges Past $7 Trillion in 2015.

(1)The combined net worth of the world’s billionaires has reached a new high in 2015 of $7.05 trillion, according to the latest compilation published by Forbes magazine on Monday.

There are a record 1,826 billionaires, each with an average wealth of $3.8 billion. Relative to last year, the world’s billionaires have increased their combined wealth by more than 10 percent, from $6.4 trillion in 2014, while the total number of billionaires has grown by 11 percent.

(2)At the top of the list of billionaires in the US are familiar names, including Bill Gates, the founder of Microsoft, whose individual wealth alone surged by $3.2 billion, to $79.2 billion. Among Americans, Gates was followed by investor Warren Buffet, the list’s biggest gainer for the year, who now has a net worth of $72.7 billion, up $14.5 billion from last year.

Further down the list, one finds individuals like hedge fund manager Steven Cohen, a personification of the essentially criminal character of American capitalism. A year ago, Cohen’s former hedge fund, SAC Capital Advisors, pleaded guilty to insider trading charges. Cohen himself was never charged, and he simply transferred his fortune to a new firm, Point72 Asset Management. Cohen made $1.3 billion last year, bringing his total net worth to $11.4 billion.

3)Overall, the country with the second largest number of billionaires is China, with 213, followed by Germany, India and Russia.

China, which remains a cheap labor platform for world capitalism, is home to 71 of the 290 billionaires on the Forbes list this year, or about a quarter of the total. The richest individual in China is Wang Jianlin ($24.2 billion), a real estate magnate, followed by Jack Ma ($22.7 billion), the founder of Alibaba Group, an Internet trading company.

4)A surge in equity markets in China last year has benefited not only Chinese billionaires. Forbes commented, “If you invested in the companies run by billionaires on the top 20 China billionaire list, you’re tracking their wealth right into your brokerage account.” The initial public offering of Alibaba last year became an international spectacle of speculation and greed, netting global investors tens of billions in profits.


5)On India, Forbes commented that the country’s 90 billionaires “are riding high on Prime Minister Narendra Modi’s promise of ‘good times.’” The right-wing Hindu fundamentalist politician, elected last year, has quickly pushed through a raft of pro-business measures, while promoting the country as the world’s sweat shop.

The richest Indian is Mukesh Ambani (net worth of $21 billion), the chairman and managing director of Reliance Industries Limited. About 60 percent of the population in India, or 750 million people, live on less than $2 a day.

6)Russia has seen a significant decline in the number of billionaires, from 111 to 88, dropping from third to fifth on the overall list of countries. This is one result of the economic crisis that has engulfed the country, due to the sharp drop in oil prices and crippling economic sanctions imposed by the United States and Europe. One of the primary aims of these sanctions is to encourage a section of the Russian oligarchs, fearful of the impact on their wealth, to turn against the government of Vladimir Putin.
 
What about Rothschild Family? Nilisoma mahali, they worth 50,000 Trillion Dollars.
 
Back
Top Bottom