What is flat and how do you prove this is flat?
How do you know something is flat and another is not flat?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maskini 😔Kuwa sisi ni immortals na tupo duniani kwa sababu fulani na hatukupaswa tuishi tunavyoishi sasa kwasababu tunauwezo mkubwa kuliko teknologia .
Ukweli kuwa hatukotokana na nyani,kuna bara katikati ya dunia,maana ya kifo,baada ya kifo,upendo,dunia tulivu ,kuishi na wanyama pamoja,hali ya hewa na mengi ........
INSHORT DUNIA INAELEKEA KWENYE SINKING ZONE NA HUMANS WATALOOSE HUMANITY WATAKUWA VIRTUALLY ORIENTED NA MACHINES YANI ARTIFICIAL INTELLIGENCE ITA TAKE PLACE NA HAPO NDIPO TUTAKUWA TUMEPOTEZA UHALISIA NA UZAO WETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu unasema satellite ni long towers eeeh Mungu baba
Eeeh Mungu wanguSatellite ni hoax umeziona wapi zaidi ya picha kama mwezi unauona unashindwaje kuziona hata kwa telescope embu acha ushabiki tumia common sense.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaMtu unasema satellite ni long towers eeeh Mungu baba
Inshort maswali wanayo uliza yana link na hivyo vitu,thats why flat earth inapingwa sio na hawa ambao hata hawaelewi whats going on ila the ellites ambao they rule and control while staying in a shadow, wewe unadhani mtu kuanzia la kwanza anajua dunia tufe sasa atakuelewaREALITY
For sure unachanganya mambo! Sielewi unazungumzia Umaskini, Elimu, Flat Earth au Religion theories. Jikite kutoa kusudio la Thread yako!
Baba Swalehe 😂Eeeh Mungu wangu
Fact zakizembe sana hizihello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.
To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...
READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua size ya satellite?Satellite ni hoax umeziona wapi zaidi ya picha kama mwezi unauona unashindwaje kuziona hata kwa telescope embu acha ushabiki tumia common sense.
Sent using Jamii Forums mobile app
..... Don't try to quote me again
REALITYInshort maswali wanayo uliza yana link na hivyo vitu,thats why flat earth inapingwa sio na hawa ambao hata hawaelewi whats going on ila the ellites ambao they rule and control while staying in a shadow, wewe unadhani mtu kuanzia la kwanza anajua dunia tufe sasa atakuelewa
YOU CANT TEACH AN OLD DOG NEW TRICKS UNLESS VERY BRIGHT
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watu mliotazama conspiracy videos YouTube mnatabu sanaMkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huzuni yangu ni kuu mkuuBaba Swalehe 😂
..... Don't try to quote me again
Ntakutana then nile ban
HahahahaHuzuni yangu ni kuu mkuu
Sijawahi amini kuna watu brainwashed hivi
Nina huzuni isiyomithirika
Mtu anakwambia satellite ni long towers
Machozi yananilenga
Neil Armstrong na Buzz Aldrin hawakwenda nje ya dunia, hawakufika Mwezini.Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha,sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitunkinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?. Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara!!Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?