Mkuu unajua maana ya gravity, kama ni Ndio nadhani unajua ya kuwa ni Attraction Force na si Repulsive Force right?Nimesikia kuna kimondo kinaikaribia dunia
Swali ile gravity inakuwa wapi mpk hiko kimondo kinakaribia kuigonga dunia??
Je hiyo GT sio powerfull kihivyo iweze kuzuia mwezi maji ya bahari izuie sisi tusipae kutoka kwa uso wa dunia then ikiache kimondo kuifikia dunia?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] yaani unaamini kwenye matibabu na mengine halafu huamini katika Universe. Yaani waamue huku kudanganya na huku waseme ukweli.Sayansi iishie kwenye matibabu na kemikali tu, ila huu upande wa uumbaji na mambo ya ulimwengu huku naona kila siku wanaangukia mkenge
Sent using Jamii Forums mobile app
N kwl dunia inazunguka na kwa speed kbwa sema kwa kuwa diameter ya dunia in kubwa mno na sisi tupo kwny dunia na dhairi kuwa huwez inotice kama inazunguka bt sincerely it's in motionKama unaamini dunia inazunguka basi wewe utakuwa ni juha.
Tena wazungu wanakwambia inazunguka 10,000km/h.
Ni mwehu tu ndo wakuamini haya mambo kama aliyeamini binadamu wa kwanza kaishi miaka milion 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaenda ila cyo kihorera ndio maana ya hyo treaty na si kwamba watu wamezuiwa mfano researchers na scientific purposes uwanja n wao kwendaHahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
Ety lbda wagundue nn kwny maeleza anasema dunia n flat ambayo haina mwsho really kuna ki2 ambacho hakina mwsho kwl[emoji119][emoji23]Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi[emoji2][emoji2].Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha, sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitu kinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?[emoji2][emoji2][emoji2].
Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara! Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
Watu Antarctica wanaenda tuu mbona, nnaye mtu nnayemfahamu kabisa ameenda sasa unavyosema wanakatazwa sidhani kama ni kweli.Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
dunia inabend kila baada ya km ngap[emoji23] [emoji23] yaani unaamini kwenye matibabu na mengine halafu huamini katika Universe. Yaani waamue huku kudanganya na huku waseme ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika vizuri mkuu....Ety lbda wagundue nn kwny maeleza anasema dunia n flat ambayo haina mwsho really kuna ki2 ambacho hakina mwsho kwl[emoji119][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
N kwl dunia inazunguka na kwa speed kbwa sema kwa kuwa diameter ya dunia in kubwa mno na sisi tupo kwny dunia na dhairi kuwa huwez inotice kama inazunguka bt sincerely it's in motion
Sent using Jamii Forums mobile app
jua kuonekana linachelewa kuzana kigoma ina maana masaa yanakua ya usiku huku jua ni la jionikigoma kivip?
kwahiyo unataka kusems saa 2 usiku jua linakuwepo?jua kuonekana linachelewa kuzana kigoma ina maana masaa yanakua ya usiku huku jua ni la jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo unataka kusems saa 2 usiku jua linakuwepo?jua kuonekana linachelewa kuzana kigoma ina maana masaa yanakua ya usiku huku jua ni la jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
hakunaga jua linalozama usiku isipo kua jioni inaweza kuitwa usiku kutokana na masaa!kwahiyo unataka kusems saa 2 usiku jua linakuwepo?
Hapo sio suala la kiimani ila ni kwamba sayansi ya matibabu uamini au usiamini lakini kiuhalisia imenyooka sana na haina makandokando, huu upande wa anga mamb na ulimwengu vitu vingi ni theory (havijathibitishwa kwa asilimia mia moja) na ndio sababu ya mimi kusema kuwa hizo ni kanjanja tu[emoji23] [emoji23] yaani unaamini kwenye matibabu na mengine halafu huamini katika Universe. Yaani waamue huku kudanganya na huku waseme ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tembelea huo uzi kajibu hoja sio unacheka mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]