Pass Master
Member
- Sep 18, 2020
- 94
- 58
Nani mkali wakifanya mziki wa RnB kati ya The Weeknd na Justin Biber? Nani anahit hatari zaidi?
Alafu usimfananishe Ed Na dagaa hiyoAcha kumfananisha justin Bieber na utopolo at least muweke mnyamwezi Ed sheeran apo pemben ndio tuzungumze.
The Weeknd ni hatari zaidi???Justin bieber 2namuheshimu wa muda ila kwa the weeknd ajipange sana.
nothing like us Bieber wa Moto ila me namkubali star boyNani mkali wakifanya mziki wa RnB kati ya The Weeknd na Justin Biber? Nani anahit hatari zaidi?
View attachment 1597183
Haaaanothing like us Bieber wa Moto ila me namkubali star boy
hapo kwa Zayn🙌🙌 huyo jamaa ni hatari tokea wakati ule One Direction. japo kuna yule Harry Styles nae kwikwi.kibongo bongo wasanii wanaokubalika ni wale waliohit enzi za 2006-2015
hicho kpindi ndo utandawazi ulikomaa Tz
kwahyo usishangae watu wakasema
1.Justin>Ed sheran>The weeknd..
Beyonce kafanya album zima ya the lion King imeflophapo kwa Zayn huyo jamaa ni hatari tokea wakati ule One Direction. japo kuna yule Harry Styles nae kwikwi.
Kwamba Beyonce hana maajabu?
Umejibu viziri sana.kibongo bongo wasanii wanaokubalika ni wale waliohit enzi za 2006-2015
hicho kpindi ndo utandawazi ulikomaa Tz
kwahyo usishangae watu wakasema
1.Justin>Ed sheran>The weeknd
2.Rihana>Adelle>Ariana grande
3.Lil wayne>JayZ>Kendrick lamar>JCole
4.Chris brown>Drake>Bruno Mars>Zayn
5.Future>young thug>post malone>Tekashis69
ila ukweli ni vice versa
watu wanawapenda wasanii walioanza kusikika bongo ilihali hata huko US hawahiti tena saivi
waliofulia ni hawa ambao wakija bongo bado tunawachukulia wakubwa
*rickross
*Lil wayne
*Justin bieber
*Fat Joe
*Omarion
*50 cent
*Neyo
*and yes Rihanna
*JayZ
*Beyonce
*T pain
*TI
*Tyga
*Alicia keys
etc. etc.
hao hata wakitoa ngoma saivi haiwi hit(except riri na jB kwasababu fanbase yao bado inawasapoti)
kuna wanaohit saivi wakija bongo hawajulikani
*The weeknd
*Roddy rich
*Zayn
*Ariana grande
*Dababy
*Lil baby
*Tekashi69
*Meghan thee stalion
*Taylor swift
*21 Savage
*Cardi B
*etc. etc.
Hao wakija bongo wanaweza kuzidiwa na Zuchu kujaza show ila ni wakubw kuliko ile list ya kwanza
kujibu swali lako kwasasa Theweeknd ni mkali kuliko Jb...Uzuri wote wametoa albam mwaka huu na ni wazi album ya weeknd imefanya vizuri ×10 ya Justn bieber
For now weeknd ni mkali
although personally namkubali JB kwasababu niliyoitaja juu(2008-2015)
Beyonce kafanya album zima ya the lion King imeflop
walihisi kwasababu bey ana fanbase kubwa(beehive) basi movie ingeuza sana
cha ajabu movie haikuuza kama walivyotarajia na album ya bey haijahit kama
Beyonce kafanya album zima ya the lion King imeflop
walihisi kwasababu bey ana fanbase kubwa(beehive) basi movie ingeuza sana
cha ajabu movie haikuuza kama walivyotarajia na album ya bey haijahit kama walivyoforecast.
Sema hii sauti ya the weeknd ni kama Michael Jackson🙌🙌Beyonce kafanya album zima ya the lion King imeflop
walihisi kwasababu bey ana fanbase kubwa(beehive) basi movie ingeuza sana
cha ajabu movie haikuuza kama walivyotarajia na album ya bey haijahit kama walivyoforecast.
Jamaa anahit sana kwasabab anauimbaji flan classical unawapa watu nostalgia ya miaka ya 80's na 90'sSema hii sauti ya the weeknd ni kama Michael Jackson
Jamaa anahit sana kwasabab anauimbaji flan classical unawapa watu nostalgia ya miaka ya 80's na 90's
wa kike mwenye hiyo type ni Dua Lipa
niDua Lipa kuna ngoma moja kashilikishwa inaitwa Scared to be lonely aisee
Fikiria The Weeknd ft Zayn Malik
Biber🏃🏃ni
Tuondoe ubishi kati ya Justin bieber na Chris brown kwa saivi nani msanii mkubwa
yaani kwa perspective ya kuhit akitoa ngoma + kujaza show + kulipwa hela kubwa kwa shoo
umemaliza...Kuna jamaa nlkuwa namuelewesha anabisha kinomaBiber
Hadi followers,Subscriber,Youtube namba. C.Brown kazidiwa na dogoumemaliza...Kuna jamaa nlkuwa namuelewesha anabisha kinoma