The way how I know Mr. Zitto Kabwe

Ni yupi kati yao kwa kipindi chote hicho cha miaka 10 alikuwa anakupapasa Masaburi?
 
Tofauti zao ni kama mlima na kichuguu.Zito angekuwa jimbo la Hai basi ubunge angeusikia redioni .Tofauti ya jimbo la mbowe na zito ni kama uzima na kifo hata Zito anafahamu:kijiji anachotoka Mbowe kuna shule tatu za sekondari sio jimbo mdau kijiji tu,jimbo zima sekondari si chini ya arobaini ,Hai kuwa mbuge uwe mtu haswa sio mwanaume suruali na mdomo mtupu,
siku moja jaribu jutembea anakoishi Mbowe hapo village na majirani zake uzunguke na jimbo lake ukikutana na nyumba moja ya nyasi basi piga picha ulete jamvini mimi nitajitoa rasmi.Zaidi ya hapo Mbowe hachukui milungula TISS na wala hawathubutu kumsogelea.Zitto ndiye silaha ya mwisho ya CCM zidi ya CDM na imeshachesha
 
Tofauti kubwa ya mbowe na zitto ni kuwa mbowe ni mpigania mageuz zitto ni msaliti wa mageuzi
 
Hakika nimefanya upembuzi yakinifu wa wanasiasa mahili watano wa ccm toka 2010 mpaka leo hii, wana sihasa hao ni JK KIKWETE, MKP PINDA, PROF MAJI MAREFU, JAH PEOPLE NA L LUSINDE a.k.a KIPAJAJI kati yao mwenye bright future zaidi ya wenzake ni KIBAJI. CCM HOYEEE!
 

kampe masaburi kama unampenda sana
 
Haya mashindano ya mbio hizo nani alikuwa anayasimamia na kwa vigezo vipi?
Nani nani alikwambia anatafutwa mshindi??? Acha habari yako ya kutumia
nazi badala ya ubongo!!!! Ndiyo maana wanasiasa wanayumbayumba kwa
ajili ya watu wasio na busara!!!! Ni wakati wa kujenga sio kulinganisha.
 
Naheshimu mawazo yako, lakini muda wote binafsi najiuliza hivi bila mbowe kama m/kiti nahisi cdm ingekuwa kama cuf or tlp.
 

hivi Habib Mchange mbona huwa hampendi Dr.Slaa?
 
Naunga mkono hoja zenu hapo juu, subiri watoka povu na wenye mihemuko watavyojadili hoja hii bila hoja
 
 
Kweli Zito kapewa kazi ngumu sana kivuruga CDM kwa sasa ni sawa na kumkimbiza paka usiku
 
Ndugu ukada utakumaliza,umetafuta vipoint vyako vinne dhaifu umetuma thread!Amia kwa messi v ronaldo na hizo point zako utaeleweka!!
 

Haswa mkuuu. Wanaotaka urais wajitokeze mapema tuwafahamu. Tuanze kuwasoma na kuwapima taratibu siyo ati wanajificha na kusema mchakato bado. Ukiwa umebaki mwezi mmoja ndio wanajitokeza matokeo yake tunaweza kuchagua mtu asiyefaa kwa kuwa tu katufanyia surprise. Eti ukijitokeza unahatarisha mshikamano ndani ya chama! Ina maana watu ndani ya chama hawajui kwamba kuna urais 2015? Hii ni akili ya mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga wakati mwili mzima upo hadharani.
 
Sijawahi kuona pumba na matapishi kama haya. Yaani wewe ulikaa chini nusu saa nzima kuandika na kutuletea huu ***** hapa. Daah ama kweli kuna watu majuha.

Eti badala ya watu kuzungumzia matatizo ya watanzania wanamzungumzia Zitto. Mbona na wewe umekaa na kutuletea huu ***** wa zito hapa badala ya kuleta mambo muhimu ya watanzania.

Eti hajishughulishi na shughuli za chama. That is not news fool. Jamaa hashiriki mkutano wowote wa M4C. Find another impotant news to discuss

Eti Katiba izingatie upya sifa za mgombea-tumekushtukia unataka mgombea awe na miaka 35 si ndio.

Ohh mgombea asiwe mla rushwa-tumbie zitto kapata wapi Range Rover, VX na Jumba la ghorofa.

wewe ni mtu mwenye akili fupi sana na unamtetea zitto simply because anatoka kigoma.

acha ujinga wa kudiscuss watu. lets discuss important ideas and issues.

Foolish
 

Nadhani kuna tatizo katika hiki ulichokiandika. Are you making a comparative attributions between ZZK and Mbowe or you are tackling the given issue from the thread? I mean you are the first to contribute on the very good introduced subject but you totally misdirected it.

Jambo moja ni kuwa, katika hoja tusianze kujadili watu.Hata hivyo, Zitto anaweza kuwa mzuri au mbovu (Si katika mambo yote) na Mbowe anaweza kuwa mzuri au mbovu (Si katika mambo yote vilevile). Ukianza kujadili watu, utaishia kupata weaknesses na strengths maana mtu hawezi kuwa mzuri tuu bila udhaifu na hawezi kuwa na udhaifu tuu bila kuwa na ubora wake.
 
Ukianza na makosa kwenye headline yenye makosa unawa-put off wasomaji wako. Hakuna kizungu kinachosema: The way how. Unatakiwa uchague kutumia The way au How kwani vyote vinamaanisha kitu kimoja. Kusema The way how ni sawa na kusema 'Some people they....etc
 
Hao uliwataja unaonaje ukiwapamanisha na CDM pumba squad (DR SLAA+ JOSEPHINE,MBOWE,SUGU,LEMA)

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…