The view, kutoka kwenye mnara kivukoni

The view, kutoka kwenye mnara kivukoni

Vitu kama ivi ndo marehemu bin laden alikuwa akiviona udenda unamshuka.
teh teh, labda kama hicho halafu kiwe na anachokitaka ndio udenda utamtoka, lakini huo, atapoteza resources zake bure nadhani, kwa maadaui zake wakubwa kuna zaidi ya hii pia kuna wengi wanatembelea akifanya mambo anaweza akafanikiwa lakini hapo kwetu viofisi vya mamlaka ya usafiri tuu, sio sana .
 
Huo mnara mkuu una lift mpaka namba nane. Lakini sijui kama lighthouse ni jina lake sahihi. Huu mnara ni Dar-es-salaam port control tower. Na kuna ofisi zingine kama ghorofa ya saba kuna SUMATRA.
Ofisi ya SUMATRA ndani ya mnara huu?!,nijuavyo ofisi ya sumatra iko upanga opposite na calfornia dreamer- ok, huenda wanaofisi nyingi.
 
Ofisi ya SUMATRA ndani ya mnara huu?!,nijuavyo ofisi ya sumatra iko upanga opposite na calfornia dreamer- ok, huenda wanaofisi nyingi.

Ni kweli Makao makuu ya SUMATRA, yapo hapo uliposema.Lakini kama nilivyosema huko nyuma kuwa ofisi hii ya SUMATRA ni MRCC,hivyo maantikally ( logically ) haiwezi kuwa Upanga.
 
Back
Top Bottom