The U.S Needs to Stop Ignoring Tanzania's Media Crackdowns

The U.S Needs to Stop Ignoring Tanzania's Media Crackdowns

najua mirungi inakuchanganya, hatuwez hangaika na ujinga kama huu, nadhan mtoa post hajitambui, source unatuwekea magazeti ya udaku unajitambua kweli? any way, i gues you want to enjoy yourselfe this evening, oky go on,,,

Magazeti ya udaku Washington post,dude plz?sikio la kiziwi
 
sheria imeshasainiwa, kama watazuia misaada yao wazuie tu, hii n chi huru hatuwez pangiwa. binafsi cjaona ubaya wa hiyo sheria ya takwimu na mitandao, haija mzuia mtu uhuru wake, ila imeweka utaratibu wa matumizi ya takwimu na matumiz bora ya mitandao. nawasihi watz somen sheria na kupata ufafanuz badala ya kuaza kulaum na kulalamika tu. sheria imeshapitishwa na inaaza kutumika tar1 july, 2015. tuache kupotosha

Nchi huru inakataza wananchi wake kua huru?duuu
 
This guy is from which kind of country. Nakubaliana na watu kuwa ukiwa mwana ccm hata wakiweka sheria ya kuua wazazi wako utasema iko sawa, ili mradi haikui wewe. Kumbuka leo inamchinja ndugu yako au mtoto wako uchungu utausikia tu wewe furahi na kisema haoni ubaya wowote.

Ukoo wa panya baba mwizi mama mwizi mtoto mwizi period!
 
Ukoo wa panya baba mwizi mama mwizi mtoto mwizi period!

usiipe nafasi siasa ikuendeshe hivo, hili jambo si la kisiasa, ivi ushajiuliza kwann yule aliyefichua siri za shirika la ujasusi la marekan alikimbia uhamishoni? mbona sisi wanatuzuia tusidhibiti mifumo yetu ya utoaji habari? mtaona uzuri wa hii sheria itakapoaza kutumika, but umepewa nafasi ya kutoa maon juu ya hii sheria kabla haijaaza kutumika,
 
hakuomba chakula kwa obama, nahisi ulimnukuu vibaya, aliomba wasaidie kuboresha kilimo kama vile kujenga maghala ya kisasa ili tuhifadhi mazao kwa mda mrefu

Mkuu, yaani bila aibu Marekani aje atusaide kujenga maghala ya chakula? wewe unapindua hotuba ya mkuu wetu wa nchi wapi alisema watujengee maghala ya chakula? kwa uelewa wangu hayo ni madogo tunaweza wenyewe watusaidie kwenye mambo magumu km kweye technologia, miundo mbinu na uwekezaji kwenye viwanda.

NIPE SAMAKI NITAKULA SIKU MOJA, LKN UKINIFUNDISHA KUVUA NITAKULA DAIMA.
 
Mkuu, yaani bila aibu Marekani aje atusaide kujenga maghala ya chakula? wewe unapindua hotuba ya mkuu wetu wa nchi wapi alisema watujengee maghala ya chakula? kwa uelewa wangu hayo ni madogo tunaweza wenyewe watusaidie kwenye mambo magumu km kweye technologia, miundo mbinu na uwekezaji kwenye viwanda.

NIPE SAMAKI NITAKULA SIKU MOJA, LKN UKINIFUNDISHA KUVUA NITAKULA DAIMA.

kama unafuatilia habari hiv karibun wawekezaj kutoka(kati ya nchi za asia au ulaya) nmesahau kidogo, walitangaza nia ya kuja kuwekeza ktk uhifadh wa mazao ya nafaka kwa kujenga maghara ya kisasa, hii inahitaji teknojia kubwa sio kama maghala unayoyafikilia ww, tz tunatatizo la uhifadh wa mazao, mazao mengi yanaharibika kwa mda mfupi kutokana na mfumo duni wa kuhifadhi mazao.
 
kama unafuatilia habari hiv karibun wawekezaj kutoka(kati ya nchi za asia au ulaya) nmesahau kidogo, walitangaza nia ya kuja kuwekeza ktk uhifadh wa mazao ya nafaka kwa kujenga maghara ya kisasa, hii inahitaji teknojia kubwa sio kama maghala unayoyafikilia ww, tz tunatatizo la uhifadh wa mazao, mazao mengi yanaharibika kwa mda mfupi kutokana na mfumo duni wa kuhifadhi mazao.


Mazao yenyewe yanayo haribika yako wapi? wkt hata chakula hakitutoshi? isipokuwa mahindi tu, nayo serikali imekuwa ikiwakopa wakulima mpaka sasa haijawalipa pesa zao, mazao yanayoharibika ni maembe huko Tanga, lkn nayo azam kisha lifanyia kazi, mazao yaliyobaki hayatoshelezi kutulisha. nenda soko la ndizi mabibo asilimia 80 zimevunwa kabla ya kukomaa, serikali ikiaamua kuwekeza kwenye kilimo bila mhisani inaweza kuliko kujenga reli std gauge, umeme na nk. hata ikiamua kujenga hayo maghala kwa awamu inaweza.

Tatizo litakuwa kwenye miundo mbinu ya reli na barabara kutoka kwa wakulima kwenda sokoni, kusafirisha mazao kutoka Bukoba km 1600, Kigoma km 1400, katavi km 1400, na nk kwa gharama ndogo kwenda kwenye masoko km Dar na nk.

Maghala ya kisasa yanakiwa kuwa na standard/constant temperature kutegenea aina ya zao. mfano maghala ya chakula china yana vifaa vyenye technol ya kisasa inayomoderate weather changes. JE utaweza haya km huna umeme wa uhakika?
 
Ok, sijitambui. washington post siyo udaku wewe. hata km ingekuwa ni udaku ukweli ni kwamba gazeti limetoa repoti ya kinachozungumzwa. kwaani ni uongo mswada haukuwa wa dharula? kuna tatizo gani mpaka kuwe na udharula hiyo mpaka vikao vya usiku? km siyo woga wa CCM kuandikwa kwa uchafu wake kuelekea uchaguzi mkuu octoba? hii ni janja ya kutaka kutuziba midomo, sasa nje nao wazibeni midomo.
Msiwe mnachangia vitu msivyovielewa. Hivi hali ili yokuwa ya kutisha kuhusu usalama pesa zenu, maadili na uholela wa kuongea kwenye mitandao unasema mswada kwa nini upelekwe kwa hati dharula. Hebu acha kukurupuka tafakari kwanza kabla ya kusema. Heko mliopitisha mswada huu na kuwa sheria. Kama una hoja karibu ulingoni.
 
The CCM govt are ashamed for all they have been doing for the past 50 years. Publishing the realities in the ground turns out to be crime. "Wakereketwa" should use international platforms to stop this inept govt.
 
Tunapozungumzia opennes katika utendaji ni dhana pana ambayo tukiiangalia kwa makini mataifa mengi hata yale makubwa ya kimagharibi yamekuwa yakishindwa kutimiza
 
Things are now getting to something I expected.
I guess the government will listen to donors now...thats if they failed to listen us...they should pay it now.

" huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono"
 
Msiwe mnachangia vitu msivyovielewa. Hivi hali ili yokuwa ya kutisha kuhusu usalama pesa zenu, maadili na uholela wa kuongea kwenye mitandao unasema mswada kwa nini upelekwe kwa hati dharula. Hebu acha kukurupuka tafakari kwanza kabla ya kusema. Heko mliopitisha mswada huu na kuwa sheria. Kama una hoja karibu ulingoni.

wewe unayeelewa tueleweshe na sisi, sisi hatujasema kila kitu kilichomo ni kibaya, lakini kwa wadau hawakushirikishwa? Hii inajengwa na taswira ya CCM kuendeleza kale ka tabia ka kakulindana au kuwalinda wezi, majizi yatakuwa yakiandikwa yatakuwa yanakimbilia mahakamani kunyamnzisha yasiandikwe, hebu fikiria hata hata ka platfom unakotumia kuongea utakuwa nako tena, maana muswada unataka watu kutumia majina halisi kwenye mitandao badala ya bandia.
 
Good job. Our activists and the local media are strangely silent on this. It is us here at jamiiforums who are making noise on these unfair legislations, except for just a handful of people, no one else is supporting us out there.

Then you would say the Law is operational, it was intended to silent them..now they are silent. Faiza Fozy will cheeer.
 
Then you would say the Law is operational, it was intended to silent them..now they are silent. Faiza Fozy will cheeer.

Tanzania media are weak, no any single news paper came with this story at least copy and paste from the Washington post paper. they have already soaked awaiting slice.
 
Hata sisi hatukatai kila kitu kilichomo muswada ni mzuri lkn kuna mambo ya kuchuja, mfano soma hapa chini unasemaje kuhusu hilo.

Kutoa taarifa za Uongo:
16.- Mtu yeyote anayetoa taarifa, data au maelezo kwa njia ya picha, maandishi, alama au aina nyingine yoyote taarifa, data, kwenye m fumo wa kompyuta, endapo au maelezo hayo ni ya uongo, yanapotosha au yasiyo sahihi, atakuwa ametenda kosa, na akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au kutumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita au vyote.
Huu si muswada wa takwimu ndugu. Ni wa Cyber Crime. Hiyo siingilii
 
Msiwe mnachangia vitu msivyovielewa. Hivi hali ili yokuwa ya kutisha kuhusu usalama pesa zenu, maadili na uholela wa kuongea kwenye mitandao unasema mswada kwa nini upelekwe kwa hati dharula. Hebu acha kukurupuka tafakari kwanza kabla ya kusema. Heko mliopitisha mswada huu na kuwa sheria. Kama una hoja karibu ulingoni.

well said bro! watz tucwe wakulalamika tu, think critically
 
Back
Top Bottom