Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Hakuna cha Mwenyezi Mungu wala Faizaaa wala nini, wewe huo uislam uliutoa wapi,[ Waafrika wazima bila aibu] mnataka kutuletea utamaduni wenu wa kiarabu unaojustify kujilipua na kuua wengine, Mungu gani anayewatuma mkaue wengine, huo ni ugaidi full stop, Siku hizi mnaadabishwa maana si hatuwalazimishi mufuate yetu, tunawachukulia kama wenzetu lakini nyie ni ubinafsi mwanzo mwisho, We accomodate you and treat you like brothers and sisters lakini sisi kwenu ni Makafir........pelekeni utumbo wenu hukoo.
Enzi za kabla ya ukoloni nani alikua anawaonea hadi mkawa mnapigana JIHAD na utumbo tumbo wenu. Dini halisi ya binadamu ni ubinadamu na UTU and let those who police the world civilize all you! Endeleeni tu kupunguz population yenu kwa kulipuana!
Enzi za kabla ya ukoloni nani alikua anawaonea hadi mkawa mnapigana JIHAD na utumbo tumbo wenu. Dini halisi ya binadamu ni ubinadamu na UTU and let those who police the world civilize all you! Endeleeni tu kupunguz population yenu kwa kulipuana!
faizaaaa achana nao ukibishana na mjinga si na wewe wawa mjinga?? Nani aloanzisha vita ya udini??? Kuna muislamu hata mmoja au taifa la kiislamu liloenda nchi za magharibi kufanya fujo?? Ni hao wazungu walojifanya wanataka ku civilise uislamu wakifkiri mila zao ni bora kuliko zetu. Na katu hatutafata mila ambazo huhalalisha maovu na kukataza mema. Eeeh mwenyez mungu wasamehe manake hawajui watendalo