Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Niliamua kuacha kuandika lolote humu (ingawa nina mambo mengi ya kusema kwa faida ya wengi) kwa sababu maoni yangu kila wakati yanafutwa ingawa sijawahi kumtukana mtu wala kusema jambo lolote ovu. Nimeona tu ni share hili jambo kwa sababu nadhani lina uzito. Leo nimetokea kufikiria huu msemo 'the straw that broke the camel's back' na najaribu kutafakari una maana gani pana hasa kwa nyakati hizi tunazoishi.
Naomba wachangiaji.
Naomba wachangiaji.