The Royal Tour ndani ya Arusha April 28, 2022

The Royal Tour ndani ya Arusha April 28, 2022

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
10,468
Reaction score
18,556
Hongera Mkoa wa Arusha, mmepata upendeleo.

Royal Tour ndani ya jiji, ndani ya ukumbi wa AICC.

Tarehe tajwa hapo juu.

Ngoja tuone uzinduzi huo wa kwanza Tanzania na wa aina yake

Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

IMG-20220423-WA0024.jpg
 
Hongera Mkoa wa Arusha,mmepata upendeleo.
Royal Tour ndani ya jiji, ndani ya ukumbi wa AICC.
Tarehe tajwa hapo juu.
Ngoja tuone uzinduzi huo wa kwanza Tanzania na wa aina yake
Upendeleo kivipi wakati ndo kitovu cha utalii! Muwe mnajipanga kabla ya kuchangia! Ulitaka ikazinduliwe Dodoma?
 
Sio haki kabisa, huu uzinduzi ungefanyika Gurmet game reserve na hotel Verde inge kuwa bonge la show, lengo ni kuvutia watalii, mtalii gani anaenda aicc?
 
Sio haki kabisa, huu uzinduzi ungefanyika Gurmet game reserve na hotel Verde inge kuwa bonge la show, lengo ni kuvutia watalii mtaliI gani anaenda aicc?
AICC ukumbi wa kimataifa ule Babu.
Acha wanachuga wajiachie tarehe hizo
 
Driver Guides na Tour operators waalikwe for free hawa ndo Front line kwenye Industry.. ...
 
Hongera Mkoa wa Arusha,mmepata upendeleo.
Royal Tour ndani ya jiji, ndani ya ukumbi wa AICC.
Tarehe tajwa hapo juu.
Ngoja tuone uzinduzi huo wa kwanza Tanzania na wa aina yakeView attachment 2197834
Wana jamii napenda kutoa pendekezo hii filamu izinduliwe Paris, Ufaransa Uswis na Spain Hawa ni wadau muhimu wa utalii
 
Pia hii mbuga iboreshwe, tuondoe wa masai wote ngorongoro, na upande wa mara wakazi wote wa nyatwali waondolewe yaani wawe relocated, tupande miti ya asili upande wa ngorongoro, tuondoe Ile mizani ya TANROADS pale nyatwali darajani, Ile mizani imevuruga maza mazalia ya nyani
 
Back
Top Bottom