General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,023
Tayari nimekuadd chiefNa mimi naomba ni add tupate madini
Nimefanya hivyo comradeAdd me in the list please...
Tayari mkuu jipuNiongeze na mimi mkuu
Shukrani chiefAsante kwa andiko hili safi mkuu!!
Nasubiri Hiyo Makala nijaze ufahamu katika ubongo huu wenye njaa!!
Karibu tena.
Mkuu una uhakika na hii takwimu? 350m kwa mwezi mbona ni ndogo sana kwa Dangote?Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi
Mkuu nfikiri hujamuelewa.Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba
Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo
Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba
Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba
Achana na iyo mambo, kama unawaingiza chaka watu, waingize lakini kaa ukijua hapa Jf ni jukwaa la watu smart sana, usije ukaleta porojo zako ukadhani umewalisha matango yako, no way
Eti kagame tajiri africa,
Umebugg meeeen
Sawa mkuu ngoja tusubiriMkuu nfikiri hujamuelewa.
Ndio maana katoa mifano kuwa wapo maprince wa UAE lakini hawatajwi Forbes
Na kuna mahala kaandika yupo rafiki zake putin wenye utajiri mkubwa zaidi yake lakini hawatajwi.
Nafikiri kuna anacholenga kuhusiana na huo utajiri anaouzungumzia,Ni vyema akamaliza mada Halafu tumkosoe vizuri
Naaam! Hii ndio busara na hikma... unasoma kwanza kisha unakosoa. Sasa ndugu yetu anakosoa ingali hata andiko lenyewe halijaletwa bado. Ni ajabu kweli kweli.Mkuu nfikiri hujamuelewa.
Ndio maana katoa mifano kuwa wapo maprince wa UAE lakini hawatajwi Forbes
Na kuna mahala kaandika yupo rafiki zake putin wenye utajiri mkubwa zaidi yake lakini hawatajwi.
Nafikiri kuna anacholenga kuhusiana na huo utajiri anaouzungumzia,Ni vyema akamaliza mada Halafu tumkosoe vizuri
Kama faida, ni ela nyingi mkuuMkuu una uhakika na hii takwimu? 350m kwa mwezi mbona ni ndogo sana kwa Dangote?
Salute mkuu.
JIWE KuuNiongeze na mimi mkuu
FIY Putin ana utajiri kumshinda Gates..Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba
Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo
Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba
Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba
Hata kama ni faida kwa investiment zake zote hizo ni fedha ndogo.Kama faida, ni ela nyingi mkuu