The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba

Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo

Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba

Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba

Achana na iyo mambo, kama unawaingiza chaka watu, waingize lakini kaa ukijua hapa Jf ni jukwaa la watu smart sana, usije ukaleta porojo zako ukadhani umewalisha matango yako, no way

Eti kagame tajiri africa,
Umebugg meeeen
Mkuu nfikiri hujamuelewa.
Ndio maana katoa mifano kuwa wapo maprince wa UAE lakini hawatajwi Forbes
Na kuna mahala kaandika yupo rafiki zake putin wenye utajiri mkubwa zaidi yake lakini hawatajwi.

Nafikiri kuna anacholenga kuhusiana na huo utajiri anaouzungumzia,Ni vyema akamaliza mada Halafu tumkosoe vizuri
 
Mkuu nfikiri hujamuelewa.
Ndio maana katoa mifano kuwa wapo maprince wa UAE lakini hawatajwi Forbes
Na kuna mahala kaandika yupo rafiki zake putin wenye utajiri mkubwa zaidi yake lakini hawatajwi.

Nafikiri kuna anacholenga kuhusiana na huo utajiri anaouzungumzia,Ni vyema akamaliza mada Halafu tumkosoe vizuri
Sawa mkuu ngoja tusubiri
 
Mkuu nfikiri hujamuelewa.
Ndio maana katoa mifano kuwa wapo maprince wa UAE lakini hawatajwi Forbes
Na kuna mahala kaandika yupo rafiki zake putin wenye utajiri mkubwa zaidi yake lakini hawatajwi.

Nafikiri kuna anacholenga kuhusiana na huo utajiri anaouzungumzia,Ni vyema akamaliza mada Halafu tumkosoe vizuri
Naaam! Hii ndio busara na hikma... unasoma kwanza kisha unakosoa. Sasa ndugu yetu anakosoa ingali hata andiko lenyewe halijaletwa bado. Ni ajabu kweli kweli.
Ndiyo changamoto ya baadhi ya wenzetu kwenye jamii zetu. Ni busara tu kuwachukulia hivyo hivyo walivyo na kukubaliana nao.
 
Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba

Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo

Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba

Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba
FIY Putin ana utajiri kumshinda Gates..

Leta source ya data zako, Gate haingizi zaidi ya 300-500$ kwa sekunde
 
112 Reactions
Reply
Back
Top Bottom