The Professor Vs Scofield

The Professor Vs Scofield

Scoffield is one thousand better kuliko professor


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nini Mawazo Yako Katika Hili.

Tyrant
Prof ni bora kwa sababu kapiga mission ngumu ya kuvamia benki kuu ya nchi na kuchomoka na mapesa na akawagaia wananchi.

Scolfield huwezi mlinganisha na prof wewe. Kumtorosha mtu jela ni kitu kidogo ita polisi pemben mpe buku 50 uone kama ndugu yako hajatoroshwa na hao polisi wanao mlinda.

Sasa jiloge uende benki kuu ya nchi useme nataka kuvunja uone kitakupata nini.

Bella cha bela cha bela cha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof ni bora kwa sababu kapiga mission ngumu ya kuvamia benki kuu ya nchi na kuchomoka na mapesa na akawagaia wananchi.

Scolfield huwezi mlinganisha na prof wewe. Kumtorosha mtu jela ni kitu kidogo ita polisi pemben mpe buku 50 uone kama ndugu yako hajatoroshwa na hao polisi wanao mlinda.

Sasa jiloge uende benki kuu ya nchi useme nataka kuvunja uone kitakupata nini.

Bella cha bela cha bela cha...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo alifanya kwenye season ya ngapi?maana me nimeangalia prison break season ya kwanza na ya pili tu.
 
Kwangu michael yupo juu !kinachonifanya niseme ivo ni kwamba mara nyingi alikiwa akifel katika mipango yake na iyo ndo nature ya binadam. Lkn anatumia akili ya ziada ndo apo ninapompa point michael kulinganisha na na professor professor kila anachopanga kilikuwa kinaenda kama kilivyo ki uhalisia hamna kitu kama icho panga mipango uvurugwe utumie akili ya ziada michael kwangu atabak kuwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusika kila mtu mtaani anaisifia wengine wanaiponda, nami ndio nimeamua kuiangalia nipo S1 E 5. Nitarudi.
Prison break ni noma aisee hautapoteza muda wako me na inapozidi kwenda mbele na utamu unazidi kuongezeka mbele ukifika season ya 2 kuelekea ya 3 Kuna jela moja inaitwa Sona Michael scottfield na wenzake watapelekwa hiyo jela,hiyo jela humo ndani Hakuna walinzi mpo wafungwa pekee mnajitungia sheria wenyewe na ukiwa mbabe ndo unatawala wafungwa wenzako wote.Wamejiwekea sheria ukitupiwa mguu wa kuku lazima upambane na aliyekutupia au aliyekuwekea na sharti la mpambano huo lazima mmoja afe.
 
Unataka kusema katika series 20 kali hiyo ipo? mm hata 30 kali haiwezi kukaa huu upuuzi.
Ndo uniambie ukawaida wake upo vipi? Na hizo series unazosema ni Bora kuliko Prison break ubora upoje kushinda Prison break?
 
Ndo uniambie ukawaida wake upo vipi? Na hizo series unazosema ni Bora kuliko Prison break ubora upoje kushinda Prison break?
Basi mzee nilichogundua kuwa ww ni mtu wakufuata mkumbo hiyo 1 series unaangalia mpaka uhadisiwe ipoje ndio uangalie.

2. Bado series kali huzijui nilitegemea nilivyosema ya kawaida ungekuwa ni muangaliji sana wa series ungenielewa kwa haraka sana ndio maana comment iliyofuata nikakuambia hata katika series 30 kali haiwezi kuwepo bado hukuelewa.

3. Kumbe ww ni mbishi hili kila mtu anayekuja anajua kuwa ww ni mtu gani mm sitaendelea kukujibu tena hapa nimemaliza mzee.
 
Prof ni bora kwa sababu kapiga mission ngumu ya kuvamia benki kuu ya nchi na kuchomoka na mapesa na akawagaia wananchi.

Scolfield huwezi mlinganisha na prof wewe. Kumtorosha mtu jela ni kitu kidogo ita polisi pemben mpe buku 50 uone kama ndugu yako hajatoroshwa na hao polisi wanao mlinda.

Sasa jiloge uende benki kuu ya nchi useme nataka kuvunja uone kitakupata nini.

Bella cha bela cha bela cha...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sijui unafananisha vitu gani,..

Acha kumfananisha mjomba michael na huyo mzee,Michael akili kubwa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi mzee nilichogundua kuwa ww ni mtu wakufuata mkumbo hiyo 1 series unaangalia mpaka uhadisiwe ipoje ndio uangalie.

2. Bado series kali huzijui nilitegemea nilivyosema ya kawaida ungekuwa ni muangaliji sana wa series ungenielewa kwa haraka sana ndio maana comment iliyofuata nikakuambia hata katika series 30 kali haiwezi kuwepo bado hukuelewa.

3. Kumbe ww ni mbishi hili kila mtu anayekuja anajua kuwa ww ni mtu gani mm sitaendelea kukujibu tena hapa nimemaliza mzee.
Jamiiforum sio fb au insta ni jukwaa lenye hoja usikimbie hoja ya msingi unaposema series fulani ni ya kawaida lazima uwe na hoja zinazoonesha kweli hii ni series ya kawaida mfano me nilisema money heist season 1 ni ya kawaida na nikasema sababu ya kuiona ya kawaida ni pale ambapo professor kila mipango aliyokuwa amepanga lazima afanikiwe hapo ndio inapopunguza uhondo.Sasa wewe utupe sababu zako za Prison break kuona ni ya kawaida?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom