The Problem With Modern Marriage

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
877
Reaction score
3,920
Na hii ndiyo inafanya kataa ndoa wanajichotea ushindi kila siku.

Wanawake wa sasa watapenda Morden Marriage ila wanataka waume zao wawape Traditional Treatments, yani zile za Ki Gentlemen.

Wakati wao hawataki kuishi maisha descent wanayotaka wao wapewe.
Your browser is not able to display this video.
 
Wanaume mnajua kuwaendekeza wake zenu ndo maana wanawake wameweza kucontrol mind zenu
Kwaiyo kosa sio la mwanamke kukosa maturity, ila kosa ni la mwanaume ambaye ni victim wa bad character ya mwanamke?

Vipi wanawake wanaotelekezwa na watoto. Tunaweza tukaondoa lswama kwa wanaume na tukasema wanawake ndie wanaendekeza hiyo trend kwa kutoa uchi kirahisi?
 
Ndoa ni mtindo wa maisha ambao umepitwa na wakati. Misingi yake iliwekwa kipindi cha patriarchy ambapo mwanamke alikua inferior kwenye kila kitu.

Sasa hivi tupo kwenye nyakati ambazo mwanamke kapewa access ya elimu, ajira, kumiliki mali, uhuru wa kufanya ngono n.k. Haiwezekani tukatumia sheria zile zile za ndoa bila kuleta mvulugano.
 
Ulaya huko wanaume wako na hali mbaya sana, wamegoma kuoa na wamehamisha mambo yao kwenye pombe, sigara, ni tabia zingime hatari
 
Hii ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…