The next Generation of Kenyans, will be Free of Tribalism!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Huu ndiyo ukweli, nimefika Kenya (Nairobi) mara kwa mara, na hivi juzi tu nilikuwa huko pia, nilichokiona ni kwamba Watoto wanaokuwa sasa hivi yaani kizazi cha leo hasa jijini Nairobi don't give a shit about Kikuyu, Jaluo sijui Kalenjil, wengi wao wanaongea Kiswahili tu kama lugha yao kwanza sheng to be specific, ukiwa mitaa ya Nairobi ni ngumu sana siku hizi kusikia mtu anaongea kilugha lugha na kama ukimuona basi ni wale wazee wa kizamani, lkn vijana wote leo hii wanaongea Kiswahili tu, ukienda Shuleni wkt wa break watoto wanaongea wao kwa wao kutumia lugha ya Kiswahili tu, hivyo baada ya hii generation ya sasa iliyojaa ubaguzi wa Ukabila kupita Kenya mpya itakuwa free of tribalism!
 
Let's hope iwe hivyo. ...iyo tribalism haina faida mkiiendekeza uku tz mtu akikuuliza we kabila gani niili tu akutanie then inaishia apo sasa nyie wenzetu inabidi mbadilihe mfumo uliopo

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mamarosa, hivi wewe huwa na shida gani? Unaelewa kenya na wakenya kweli wewe? Umeona hilo sampuli ndogo, ukadhani umepata taswira ya nchi? Kusema ukweli, sidhani umefika Nairobi.
 
Huu ndiyo ukweli, nimefika Kenya (Nairobi) mara kwa mara, na hivi juzi tu nilikuwa huko pia, nilichokiona ni kwamba Watoto wanaokuwa sasa hivi yaani kizazi cha leo hasa jijini Nairobi don't give a shit about Kikuyu, Jaluo sijui Kalenjil, wengi wao wanaongea Kiswahili tu kama lugha yao kwanza sheng to be specific, ukiwa mitaa ya Nairobi ni ngumu sana siku hizi kusikia mtu anaongea kilugha lugha na kama ukimuona basi ni wale wazee wa kizamani, lkn vijana wote leo hii wanaongea Kiswahili tu, ukienda Shuleni wkt wa break watoto wanaongea wao kwa wao kutumia lugha ya Kiswahili tu, hivyo baada ya hii generation ya sasa iliyojaa ubaguzi wa Ukabila kupita Kenya mpya itakuwa free of tribalism!

Wewe kin'gan'ganizi jamaa wa nongwa kweli, tumechoka kukupa darasa humu JF hadi nawahurumia wanaokutegemea kimaisha, maana una nongwa sio kwa Watanzania hata kwa Wakenya, kutwa kuanzisha mada zinazosababisha uzomewe kila mahali.

Mara nyingi nimekwambia lugha haisababishi ubaguzi. Kule Somalia wanaongea lugha moja, dini moja lakini wanalipuana ovyo na kubaguana kwa misingi ya koo. Hiyo sheng unayoshobokea ambayo kama umeijua leo waliongea baba zetu mjini, mimi nimeiongea tangu utotoni.

Dunia hii ubaguzi upo baina ya walionacho na wasiokua nacho, huu ubaguzi upo kote na hata huko Bongo. Mengine haya ni chenga la macho tu kisiasa na njia za kutafuta kura. Hapo Bongo kama umetokea kwa wasiokua nacho utazunguka kutwa na CV yako ukitafuta kazi, kwa njaa na bila hata mtu wa kukupa maji, lakini jamaa uliyesoma naye na ametokea kwa walionacho, babake atapiga simu tu na kesho jamaa anaenda kuanza kazi.

Mtoto wa kutokea kwa walionacho hata akianguka mtihani bado ataingia chuo kikuu hata kwa alama za ovyo, hilo lipo Kenya na lipo Bongo na duniani kote.
 
ntk, inaonekana hata hujui ukabila..... ukiona watu wanaongea lugha yao haimaanishi ni wakabila..we vipi wewe.... na ukiona watu wanaingeleshana kiswahili haimaanishi hao si wakabila. arh, ata sijui nikueleze vipi ndo uelewe
 
Huu ndiyo ukweli, nimefika Kenya (Nairobi) mara kwa mara, na hivi juzi tu nilikuwa huko pia, nilichokiona ni kwamba Watoto wanaokuwa sasa hivi yaani kizazi cha leo hasa jijini Nairobi don't give a shit about Kikuyu, Jaluo sijui Kalenjil, wengi wao wanaongea Kiswahili tu kama lugha yao kwanza sheng to be specific, ukiwa mitaa ya Nairobi ni ngumu sana siku hizi kusikia mtu anaongea kilugha lugha na kama ukimuona basi ni wale wazee wa kizamani, lkn vijana wote leo hii wanaongea Kiswahili tu, ukienda Shuleni wkt wa break watoto wanaongea wao kwa wao kutumia lugha ya Kiswahili tu, hivyo baada ya hii generation ya sasa iliyojaa ubaguzi wa Ukabila kupita Kenya mpya itakuwa free of tribalism!
Kwahivyo, hii miaka yote tangu uhuru, haya makabila yote ya Kenya yamekuwa yakitangamana vipi bila kuongea kizungu ama kingereza, ama unadhani hizi tulianza tu hivi majuzi?
Wewe hauna hoja hapa.
 
Wewe kin'gan'ganizi jamaa wa nongwa kweli, tumechoka kukupa darasa humu JF hadi nawahurumia wanaokutegemea kimaisha, maana una nongwa sio kwa Watanzania hata kwa Wakenya, kutwa kuanzisha mada zinazosababisha uzomewe kila mahali.

Mara nyingi nimekwambia lugha haisababishi ubaguzi. Kule Somalia wanaongea lugha moja, dini moja lakini wanalipuana ovyo na kubaguana kwa misingi ya koo. Hiyo sheng unayoshobokea ambayo kama umeijua leo waliongea baba zetu mjini, mimi nimeiongea tangu utotoni.

Dunia hii ubaguzi upo baina ya walionacho na wasiokua nacho, huu ubaguzi upo kote na hata huko Bongo. Mengine haya ni chenga la macho tu kisiasa na njia za kutafuta kura. Hapo Bongo kama umetokea kwa wasiokua nacho utazunguka kutwa na CV yako ukitafuta kazi, kwa njaa na bila hata mtu wa kukupa maji, lakini jamaa uliyesoma naye na ametokea kwa walionacho, babake atapiga simu tu na kesho jamaa anaenda kuanza kazi.

Mtoto wa kutokea kwa walionacho hata akianguka mtihani bado ataingia chuo kikuu hata kwa alama za ovyo, hilo lipo Kenya na lipo Bongo na duniani kote.

Wewe jamaa unansikitishaga sumtyms na views zako dhaifu, mtoto wa wasiokuwa nacho Tz are more likely kufanikiwa kuliko wa wasiokuwa nacho wa Kenya. Wengi wenyu wanaingia nchini kutafuta kazi, we talk to them, utadanganya wengi lakini si wote.
 
Wewe jamaa unansikitishaga sumtyms na views zako dhaifu, mtoto wa wasiokuwa nacho Tz are more likely kufanikiwa kuliko wa wasiokuwa nacho wa Kenya. Wengi wenyu wanaingia nchini kutafuta kazi, we talk to them, utadanganya wengi lakini si wote.
kama ni hivyo basi iweje mtoto chini ya miaka tano tanzania ni more likely kufariki kushinda mkenya, how come mtanzania wa kawaida anakufa haraka kuliko mkenya kwasababu ya magonjwa na sababu nyinginezo.... watanzania omba omba pia huku kenya wako wengi sana
 
Mmechelewa sana kutambua manufaa yaletwayo na lugha yetu ya Kiswahili. Pia mshukuru sana wasanii, wanamuziki, gospel , kaswida, wanazuoni wa dini ya Kiislamu na wahubiri wa Kikristo toka Tanzania kuwawezesha kuona jinsi lugha ya Kiswahili inavyowezesha kuunganisha umma mkubwa.
 
Wewe jamaa unansikitishaga sumtyms na views zako dhaifu, mtoto wa wasiokuwa nacho Tz are more likely kufanikiwa kuliko wa wasiokuwa nacho wa Kenya. Wengi wenyu wanaingia nchini kutafuta kazi, we talk to them, utadanganya wengi lakini si wote.

Wewe hapo kauli zako zinadhihirisha umetokea kwa walionacho hivyo huna habari kabisaaaa....
 
kama ni hivyo basi iweje mtoto chini ya miaka tano tanzania ni more likely kufariki kushinda mkenya, how come mtanzania wa kawaida anakufa haraka kuliko mkenya kwasababu ya magonjwa na sababu nyinginezo.... watanzania omba omba pia huku kenya wako wengi sana

Leta iyo evidence, alafu mind you, population here is huge, so is the landmass.
 
Leta iyo evidence, alafu mind you, population here is huge, so is the landmass.
Kajisomee mwenyewe hapa
Kenya vs. Tanzania - demographics comparison

mind you the numbers are mostly compared using a standard like deaths per 1000 people, which can be converted to a % of the whole population...... so its not just about shear numbers..

other statistics where they only say the numbers, you can still judge for example in 2012, kenya had 1.65 million people living with HIV/Aids while TZ had 1.5Million ... In the same year, 57,500 Kenyans died of HIV compared to 80,000 Tanzanians , what does that say about the health care system in TZ? less infected bu more death?
 
Back
Top Bottom