Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Mkuu vita wakati mwingine ni muhimu,lakini cha kujiuliza ni kuwa mnataka vita ili iweje?Libya left us with hundreds of lessons to learn
Hizi papara za kimapinduzi za silaha huacha makovu ambayo huwa ni magumu sana kutibu....huwa tunaangalia ushindi baada ya kumuondoa tunayetaka aondoke lakini inakuwa ngumu kwetu ku-predict kitakachofuata.
Nikifikiri kuwa pro-Gaddafi bado wapo active, plus madeni ya NATO plus ladha ya kushika mitutu kwa hao mambumbu wa NTC siioni Libya iliyosettle over the next few years.....
Hapa ndipo ninapoamini msemo wa MLK Jr "War is a poor chisel to carve out tomorrow"
However haya maneno yanaonyesha kuwa watakachokipata ni tofauti, hence msuguano,ninaamini Libya hakutakalika kwa muda mrefu sana given the fact kwamba pande zote zina silaha za kutosha na pengine sapoti ambazo ziko deep rooted on tribalism, just like we had predicted...Swali la kujiuliza,hiyo free market wanayoitaka ni yaaina gani isiyoprotect maslahi ya wananchi?..."What makes it challenging is that right now the level of expectations of the people are very high, and that the government will deliver even more rather than less."
Hata hivyo wachambuzi wa mambo wanakwambia Libya ilikuwa hivi kbala ya sasa....The challenge here is that this is a welfare state," Tarhouni says, he hopes the new Libya will feature a smaller government and a larger and freer private sector, but he has no illusions that it will be an easy transition.
In their 2007 book on the Libyan economy, authors Waniss Otman and Erling Karlberg call the Libyan worker under Gadhafi "one of the most protected in the world,
walifkiri ni rahisi kiasi hicho kupewa support na Nato??
walishindwa hata kutumia akili ndogo tu kujiuliza hao nato walkua wanataka nini!!!
sasa wataimba na kucheza style zote!
pole kwa walokua wanawasupport waasi!
Wasipofanya hivyo,basi mzimu utawaandama...Many Libyans fear civil war could flare between tribes and regions if the NTC does not reconcile the animosity created by the war and deal with the legacy of weapons piled up across the country.
"Libya is a tribal culture, and if they do not ensure reconciliation between the tribes, it will turn into a blood bath," said Abdullah, a young member of the Gaddadfa tribe.
"We lived in security with Muammar, we never thought we will end up living in a school," she said. "Look around you, do you see any food aid from organizations or any officials visiting us? No one."
The gruesome display of Gaddafi's body in a cold room in Misrata for four days has also infuriated members of his tribe and Sirte residents, as did the eventual decision to bury it in secret in the desert, rejecting a request from his tribesmen to take the body and inter it according to custom.
"Our tribal sheikhs went to Tripoli to take the body of Muammar. But then the Misrata people refused to hand him over. They said he is not to be buried among Muslims," said Hajj Abu Mohammed. "We even dug the grave here to bury him. But they said no."
Another resident standing nearby said: "Even when he is dead, they are scared of him. Maybe they fear there will be an uprising or something if people knew where he was buried."
It will be blood feuds," he said, standing at a spot where locals said the graves of Gaddafi's mother and three other relatives had been emptied and desecrated by enemy fighters during the battle for Sirte that ended eight months of war.
Some still keep Gaddafi's photos tucked secretly among their belongings, while many refer to him as the "Martyr Leader" - in his prime he chose to call himself the Brother Leader.
In Bani Walid, entire neighborhoods were covered with graffiti praising the deposed leader.
With NATO planning to end its Libya operations this week, global powers are concerned that these early bouts of violence could develop into a full-blown insurgency, and will be watching the NTC's actions closely over coming weeks.
Mkuu vita wakati mwingine ni muhimu,lakini cha kujiuliza ni kuwa mnataka vita ili iweje?
Halafu mkajadili prons vs cons of the outcomes...Nakubaliana na MLK Jr, lakini si all the way.
Kimsingi nakubaliana na wewe mkuu na unachoongea ndiyo mantiki yangu
Tatizo kubwa (ambalo pia naona ndilo lililotokea Libya na kwingine) ni kule kusahau ule msemo unaosema "The Means we use must be as pure as the ends we seek."
Some pessimists have speculated that Libya's future is prefigured by the chaotic violence that befell Somalia after the overthrow of dictator Mohamed Siad Barre in 1991, which has persisted ever since. But on a more hopeful note, it is worth observing that the fall of Qaddafi-unlike that of Hosni Mubarak, whose overthrow did not alter the power structure in Egypt- gives the victorious Libyan opposition a clean slate that may be more receptive to democratic nation-building. Libyans have granted themselves a rare opportunity for genuine revolutionary transformation of their political, economic and cultural life. Thus, it could turn out to be helpful that Qaddafi left no institutional infrastructure behind
The leadership vacuum in Libya is not likely to be filled anytime soon. We don't know whether tribal or regional loyalties will be the primary political identities now that the great unifier-hostility to the Qaddafi regime-can no longer suppress diverse goals and ambitions. The TNC lent international credibility to the anti-Qaddafi forces, but much of the fighting in the last stages of the struggle was under the control of semiautonomous militia commanders
The North African oil major is at a tremendous crossroads today but much will depend on how the transitional regime overcomes the awesome challenges which confront the troubled nation at the present time. Of utmost importance is the need to balance its Arab identity with its European future ............The critical fact, however, is that Libya, along with its huge energy potential is located in fairly close proximity to Europe - this means that much of the market in the foreseeable future will be in Europe. Thus, Libya will become increasingly tied into the European system. At the same time, there will be a tension between this movement towards Europe and Libya's natural linkages with the Arab world. Libya's new rulers would need to navigate these opposing pressures very careful
What these facts mean in practice is that significant sections of the already religious Libyan population have, over the years, gravitated towards religion as an identity and as a channel of expression. A few Libyans from within this constituency even participated in the Afghan Jihad and now form a part of the forces that overthrew the Gaddafi regime. Expectedly, like all other Libyans they are now articulating their own vision of the future Libyan state - in which they see Islamic law as the guiding principle.
Thus, Libya has a large constituency that believes in a positive role for tradition and religion in their government. This will inevitably create opportunities for tension between modernity and tradition. Libya's future constitution will need to take cognisance of and manage this tension in order for Libya to have a stable future.http://www.dailypioneer.com/pioneer-news/oped/17887-libya-after-gaddafi--a-big-future.html
Mkuu i could cut the libyans some slack due to their "Naivette"Inawezekana kuwa hakuacha hicho kinachoitwa "institutional infrastructure" lakini bado napata tabu kukubaliana na mwandishi huyu kuwa watu wa Libya wamepata "clean slate" ya kujenga Ldemocratic Libya kwa kuwa.......
Na hapo ndipo utamu unaponoga.......unajua mnapokutana na common interest kwenye kupigania jambo na mkawa mna hidden interest ndani yenu kila mmoja, siku mkisha pata ile common interest ndipo inapokuja issue ya zile hidden interest zenu, na hili ndilo litakaloichelewesha Libya
Libya After Qaddafi | The Nation
Watamkumbuka yule mzee wa kiarabu waliemzalilisha pale kwenye boneti ya gari siku ile,kina anderson cooper wa cnn sasa hivi kimya hawasemi chochote kuhusu libya kama vile hakuna kinachoendelea,sasa wamehamishia camera zao syriaaaaaaaaa!wakimaliza hako wanahamia iran!
Iran hawaendi wanaogopa Mahmoud Ahmadinejad atawachapa nuclear basi wanabaki maneno maneno tu,hata wao ni waoga ndo maana unaona nchi kama North Korea, Iran hawaendi, wanatafuta wale wadhaifu wawaonee...
Kijeshi Libya ilikuwa dhaifu. Libya ilijenga jeshi la nchi.kila raia alipewa mafunzo ya silaha. Ni Khamis bregade tu ndio ilikuwa ndio kikosi kilichotumainiwa Libya, around 7000 heads.Na hawa wakawa ndio target ya US- NATO.Maneno yako si kweli una maana Libya ilikuwa Dhaofu???
Hivi kumbe kuna watu hawajui hii maneno?Kijeshi Libya ilikuwa dhaifu. Libya ilijenga jeshi la nchi.kila raia alipewa mafunzo ya silaha. Ni Khamis bregade tu ndio ilikuwa ndio kikosi kilichotumainiwa Libya, around 7000 heads.Na hawa wakawa ndio target ya US- NATO.
Walidhani zama za uadui na US-West zilimalizika walipoacha mradi wa kutengeneza silaha za maangamizi na walipolipa fidia wahanga wa Lockerbie.(ingawaje hii issue iliishia kuwa hakuna ushahidi kuwa Libya ndio walipandikiza bomu) google ujihabarishe.
Kwa hiyo ,Libya hawaku-up grade jeshi na silaha zao na badala yake walitumia hela katika investment kiuchumi. Hili la kutaka kuanzisha gold dinar na mfumo wa fedha wa Afrika ndio sababu kuu ya Libya kupewa kisago. Kumbuka NTC ilianzisha benki kuu na shirika la mafuta/petroleum katika wiki mbili baada ya kutangazwa rasmi NTC.
Libya S.O.S.: Mustafa Abdul-Jalil and Mahmoud Jibril Have Been Paving the Way for NATO's Conquest Since 2007
“Libyan Rebels†Create Central Bank, Oil Company
The Gold Dinar: Saving the world economy from Gaddafi
GADDAFI PLACED $97 BILLION ON TABLE TO FREE AFRICA FROM IMPERIALISM! « PakDefenceUnit
Gaddafi's refusal of the World Bank, IMF, Western multinationals & AFRICOM: the real casus belli obscured by 'humanitarian' deceits | empirestrikesblack
Invasion of Libya was About Gaddafi's Plan to Introduce Gold Dinar | Gold Stock Bull
Is Gaddafi really dead? « I am a Malaysian
Ingia ndani ya link ujisomee. Utafahamu, utaelewa.what does last link mean?