ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Ulitaka mtuhumiwa mvamizi aitwe na aliyowavamia? Aache kudeka atoe maelezo yake kwa wandishi wa habari.Ruge kutumia airtime ya kutosha kwenye kipindi kuongelea issue ya kituo chake kuvamiwa iliali mvamizi hajapewa air kuzungumzia kwa nini amevamia...nayo tunaiita balancednews?ooooohhhhhh Tanzania ya wadku na wasanii
Am not sure kama umemsikiliza Waziri Mkuu aliyewahi kukaa madarakani kwa muda mrefu kuliko wote. Just if ungekuwa umemsikiliza ungejiuliza ni nini maana ya maximum level of competence na maana ya level of incompetence. Jiulize unakaa na std seven failure wa nini?At afanye kitu gani cha ajabu kama dc or RC? Anao uwezo gani wa ku reason?Hata mfalme Sulemani alimwambia Mungu anachokitaka kwake ni hekima ili aweze kuwahukumu kwa haki wana wa Israeli. Je huyo mtu wenu mnayemng'ang'ania (sijui atawapa nini kitamu hivyo mpaka mnachanganyikiwa) anayo hekima?Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?
Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?
Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
Eeeh lazima awe mbaya kwa kuwa kamgusa the Queen kama yule wa mchwa au nyuki. Ukimgusa tu utadhambuliwa kila konaKwahiyo Leo Nape kawa mbaya? With all that sacrifices kwa chama cha majambazi? Kuweni na shukrani kidogo
Hiyo ni natural justice ndio maana imeundwa tume ikamuulize wakati ushahidi wa clip ya cctv unaonyesha bayanaYaani jambazi apewe airtime kueleza kwanini alivamia? Za wapi hizo?
Mvamizi anapewa au anajichukulia tu airtime!!?Ruge kutumia airtime ya kutosha kwenye kipindi kuongelea issue ya kituo chake kuvamiwa iliali mvamizi hajapewa air kuzungumzia kwa nini amevamia...nayo tunaiita balancednews?ooooohhhhhh Tanzania ya wadku na wasanii
Tusubiri mtoa mada ateuliwe yeye maana pombe hachelewi kutema.Kwahiyo Leo Nape kawa mbaya? With all that sacrifices kwa chama cha majambazi? Kuweni na shukrani kidogo
Ndio Rais,chaguo la watanzania kwa miaka 10....hao wezi wastaarabu kaa naoSifa za magu
1.kukurupuka
2.kumlinda bashite
3.kupiga ngoma
4.kuangalia shilawadu
5.kuminya demokrasia
6.uchwara
7.vitisho
8.Vuvuzela
Vasco Dagama, Smilinig boy, Msikivu asiyejibu, Mpenzi wa wanamziki hasa Diamond, Diplomat guy aliyeweza tembea na kutembelewa na viongozi wenye ushawishi duniani, Mlegeza uchumi wa nchi lakini mleta fursa kwa wanaoweza ku lobby, mpenzi wa dini yake na mhamasishaji wanawake kujisetiri vichwa na miili yao mfano uhamiaji bila mikono mirefu na suruali kubwa huingii au sketi ndefu. Duh hujalidhika tu?Miaka hii itakwisha mukiwa mumeumizwa! Hebu taja sifa za rais aliyepita tuone!
Kama siyo Nape kuwa ngangari wakati anagombea ukatibu mkuu wa umoja wa vijana kuhusu Lowasa na jengo lile, nadhani leo hii ungekuwa unaimba wimbo mwingine. Tuwe tunasoma historia za watu tunaowaongelea kabla ya kuja humu. Tress wamefanya nini kwa nafasi walizokuwa nazo ten years kabla.Nape ni hopeless kama Mbowe
Uswahilini kwetu wanasema "mbwa kala mbwa"Kwahiyo Leo Nape kawa mbaya? With all that sacrifices kwa chama cha majambazi? Kuweni na shukrani kidogo
Raisi wa nchi ndiyo Mkuu wa Serikali na kauli ya Raisi ni kauli ya Serikali na haijalishi kama ni sawa au siyo sawa, ila wewe kama muajiriwa wa Serikali unapaswa kutii kauli ya Raisi, haimaanishi kwamba haupaswi kupinga lkn unapaswa kupinga ukiwa nje na siyo ndani, ndiyo Dunia inavyokwenda, hivyo tamko la Raisi lilipaswa kumaliza kila kitu kuhusu hii ishu kuhusiana na Nape, na kama angeona siyo haki na alistahili kusema basi alipaswa ajiuzulu, hii ndiyo kawaida na ni Dunia nzima!
Brother ushauri mzuri, ungewai kuwashauri ata CHADUMAA kwa matusi waliomtukana Dr Slaa Leo ningeona umezungumza kutoka moyoniKwahiyo Leo Nape kawa mbaya? With all that sacrifices kwa chama cha majambazi? Kuweni na shukrani kidogo
nape hakuna chochote alichofanya hata akiondoka CCM leo hakuna atakaemkumbuka....huo uwaziri amebebwa tuKama siyo Nape kuwa ngangari wakati anagombea ukatibu mkuu wa umoja wa vijana kuhusu Lowasa na jengo lile, nadhani leo hii ungekuwa unaimba wimbo mwingine. Tuwe tunasoma historia za watu tunaowaongelea kabla ya kuja humu. Tress wamefanya nini kwa nafasi walizokuwa nazo ten years kabla.
Barbarosa nilichogundua ni kwamba wewe ni Mwana CCM kindakindaki yaani yule wa kalee bendera fuata upepo..wewe kama mimi japo mimi nilianza zamani sana chamani toka enzi za Mwalimu..alichofanya Nape kwa mujibu wa Chama ni kosaa..ameenda kinyume na FIKRA za Mwenyekiti wetu. Ingebidi awaze Mwenyekiti anafikra gani kuhusu hili jambo ndio aongee na kuunda Time. Ila hajafanya hivyo ni msaliti wa Chama..😕😀Ningefunga kesi yote baada ya Raisi ya nchi kusema alivyosema, kwa maana yeye ndiyo Mkuu wa Serikali!