Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Yumkini hukusoma angalau sura ya utangulizi ya hicho kitabu au hukuelewa iwapo umesoma.kuwa na ushawishi inategemeana na mazingira kwa wakati-mfani jamii/mtu mwenye njaa na shida ukimshawishi kitu fulani kipindi hicho ni lahisi kushawishika.
pia labda kuna gonjwa limetokea ktk jamii fulani likakosa tiba ya kisayasi ikatokea mtu akawaaminisha watu kuwa ukishiriki ktk imani fulani basi gonjwa lako litaondoka na ikawa hvyo basi mtu huyo atahesabika kama ana ushawishi mkubwa