The Most Influential Persons in History

The Most Influential Persons in History

100_most_influential.pdf
Kama ukihitaji kitabu hicho hapo ila one thing inabidi ujiuize sana why this list.. Soma introduction tuu utaelewa why imepatikana hiyo rank. Na kingine guys hata we we ungekuwa una uwezo wa kuandika kitabu nadhani katika uandishi wako usingesahau interest zako pia.
Tafakarini sana. Great Thinkers!
 
Mbali na hii orodha kuwa ya kizungu (wapi waafrika kama Shaka Zulu Sundiata Keita na Mansa Musa, native americans kama Tupac Amaru....). Hivi wazungu pekee yao ndio historia!!?!? !!!
Naona wana hisabati wanoma noma pale kama Euclid na Planck. Wamemsahau kabisa Johann Friedrich Gauss, ambaye picha yake ndo avatar yangu.. huyo aliubadilisha somo hili kabisa wanamuita the father of modern mathematics.
 
dudus
...
"My choice of Muhammad to lead the list of the world's most influential persons may surprise some readers and may be questioned by others, but he was the only man in history who was supremely successful on both the religious and secular levels.
...

Faiza, naona angalau kwa hili umeamua kumsapoti kafir aliyefanya utafiti na kuja na hiyo list. Naomba support yako iendelee hivyo hivyo watakapoibuka watafiti wengine hiyo list ikawa reversed! Maana tafiti hupanguliwa na tafiti and for sure kwa hili tafiti zitafanyika za kutosha kupima usahihi wa utafiti huu. Msije tu mkamwagika mabarabarani endapo matokeo mapya hayatakuwa in your favour.
 
Hii no 3 haikutakiwa kuwepo kabisa kwenye hii orodha, ila sababu aliyeandaa hiyo list hatujajua aliaandaa akiwa katoka wapi, chooni, gest, kilabuni.

Nayo inaiwa ripoti.
 
Plato huyo ni yule aliyetoa amri ya kumsulubu yesu kwa kuogopa Wayahudi?
Plato ni msomi wa kigiriki alikuwa anatembea na chemli mchana wa jua kali, huyo sio mroma Pilato aliyetoa hukumu ya Masiha.
 
kuwa na ushawishi inategemeana na mazingira kwa wakati-mfani jamii/mtu mwenye njaa na shida ukimshawishi kitu fulani kipindi hicho ni lahisi kushawishika.
pia labda kuna gonjwa limetokea ktk jamii fulani likakosa tiba ya kisayasi ikatokea mtu akawaaminisha watu kuwa ukishiriki ktk imani fulani basi gonjwa lako litaondoka na ikawa hvyo basi mtu huyo atahesabika kama ana ushawishi mkubwa
Hoja dhaifu sana hii
 
By 1978 Mikhail Gobachev alikuwa hajulikani ni nani, hivyo kitabu kitakuwa kimeandikwa after 1990.
First edition imetoka 1978, edition hii ni ya 1992. Nadhani unajua new edition inapotolewa huwa inazingatia mambo gani.
 
Back
Top Bottom