Nilikuwa na tafuta taarifa fulani kuhusu Mkoa wa Ruvuma kupitia mtandao
Sina uhakika sana kuhusu taarifa hizi .
Ngoshwe, kwa kuwa ulikuwa unatafuta taarifa fulani kuhusu mkoa wa Ruvuma, headline yako ingesomeka "The Most Educated Tribe in Ruvuma", kitendo cha kuiacha bila kutaja Ruvuma, kunamaanisha Tanzania in general.
Nikirudi kwenye hizo kuhusu Ruvuma, ni kweli most educated ni Wanyasa simply because wamesoma Malawi. Ni kweli they are smart upstairs, na wako very organized and trustworthy, wakati wa ukoloni, ndio waiokomba kazi zote za ukarani humu nchini na kuishia kulowea.
Ukigoogle, the most educated tribe in Tanzania, matokeo ni haya:-
<LI class=g>
tribes in Tanzania - the Chaggas
- [
Tafsiri ukurasa huu ] 26 Nov 2008
... Indeed, the Chagga are the one
tribe you're almost guaranteed to meet in even the
most obscure corners of
Tanzania, working as traders,
...
www.tanzania-adventure.com/tribe-chagga.htm - Zilizo kwenye kache - [ame="http://www.google.co.tz/search?hl=sw&q=related:www.tanzania-adventure.com/tribe-chagga.htm+most+educated+tribe+in+Tanzania&sa=X&ei=Swh-S4KTEcuVtge7-tWxDw&ved=0CAkQHzAA"]
Zinazofanana:[/ame]
<LI class=g>
Tanzania Travel Blogs - TravelPod
<LI class=g> - [
Tafsiri ukurasa huu ] He also said that the Chagga are the "
most educated" of the 100+
tribes in Tanzania and that they're smart business people. The Mount Kilimanjaro remained
...
www.travelpod.com/blogs/.../Tanzania.html - Zilizo kwenye kache
<LI class=g>This is a fact, wakifuatiwa na Wahaya, Wanyakyusa na Wasukuma, wakifuatiwa na Iringa, etc. Tikija kwa walosoma sana, Wahaya ndio wanaongoza kwa idadi ya ma profesa na Ma Ph.D holders.
Makabila hayo yameweza kusoma sana kutokana na mikoa yao kuwa na mazao ya biashara, Kahawa kwa Moshi, Bokoba na Mbeya, Pamba Mwanza, na Chai Iringa.
Kuwepo kwa mazao hayo ya biashara kulipelekea makabila hayo kuwa na uwezo wa kulipia ada ya mkoloni, mikoa ambayo haikubahatika kuwa na mazao ya biashara, shule za Misheni ndio mkombozi wao.
Hata hivyo, makabila yenye wasomi wengi, haimaanishi ndio wenye akili sana, kuna vichwa vigi tuu maeneo ambayo hawakuwa na mazao ya biashara.
Angalizo, kuna baadhi ya maeneo, ni wazito kidogo kwenye kupokea elimu na maeneo mengine ni wepesi zaidi, baada ya uhuru, tuliendelea na system ya elimu ya mkoloni kwa kufanya mtihani mmoja Tanzania nzima, Cambridge. Tukajikuta wanaopasi kuingia sekondari ni makabila fulani fulani tuu, hivyo Nyerere aliliona hili na kubadili mfumo kwa kila mkoa kuwa na passd rate yake kuingia sekondari ili Watanzania wote wapate fursa sawa.
Mpaka kesho, cut off point ya Kanda ya Kaskazini ni juu ikifuatiwa na Kanda ya Ziwa, the lowest ni Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, ikifuatiwa na Kanda ya Kati.
Haukuna ubaya kuuzungumzia ukabila ili yale mazuri ya makabila yetu tuyatumie positively na yale mabaya tuyaepuke.
Kuna makabila wanapenda sana maendeleo na kuna wapenda ngoma, kuna makabila wanaongoza kwa kupenda na mlolongo wa vimada, kuna makabila hawajui kusema hapana, kuna makabila ni wakatili, wako wachoyo, wako waosema sana, yako makabila ya wachapa kazi, kuna makabila yana wezi sana, wako wanawake wa makabila fulani huongoza kwa kupenda pesa, wengine kupenda game, wengine kufanya biashara, wengine wana wivu sana, etc, etc, kuyazungumza haya in a contructive way sio ukabila.