Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,118
Mbaya zaidi kama huyo leeds wanakuj kukutana nae akiwa na ulazim wa point 3 ili atoke kule chini kwa hivyo haitakuwa rahis kwa liverkuku kama wanavyodhani wao.Kumbe mpaka ashinde vipolo ,je vikichacha