Mkuu pamoja na kutandika goli Sita lakini jamaa kawatungua hat trick moja safi kabisaPep kanyoosha mtu goli 6 ...
Namkumbuka tu ,hio timu ilishawahi kumtoa man utd CL na kumpeleka Europa![]()



Hio hatitrick angekuwa amefunga yule mbuzi wa man utd ,Basi mtaani kusingekalikaMkuu pamoja na kutandika goli Sita lakini jamaa kawatungua hat trick moja safi kabisa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app





Pep analaumu kuwa mashabiki wa city hawataki kuja uwanjan ,amesahau kuwa amepoteza final kizembe kabisa mbele ya vibonde Chelsea ......!!!
ile final ya CL ilikuwa inaenda kubadilisha atmosphere ya Etihad
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Akitoka pep nani ataenda kuwa kocha hapo?Pep analaumu kuwa mashabiki wa city hawataki kuja uwanjan ,amesahau kuwa amepoteza final kizembe kabisa mbele ya vibonde Chelsea ......!!!
ile final ya CL ilikuwa inaenda kubadilisha atmosphere ya Etihad
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usifikili monsour ni sawa na hao wawekaza wa arsenal ,hawezi sajili makocha average wakati ...Akitoka pep nani ataenda kuwa kocha hapo?
Hamuoni at least amejaribu
Win .....win....win......Kubalini tu Man shity ni timu ndogo haina Fan base kubwa
Hakuna kocha wa maana sasa duniani kamaUsifikili monsour ni sawa na hao wawekaza wa arsenal ,hawezi sajili makocha average wakati ...
Conte yupo ...
Zidane yupo ...
But siombei pep kutoka ,japo IPO siku atatoka ...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

We kiumbe umejificha wapi?Pep kanyoosha mtu goli 6 ...
Namkumbuka tu ,hio timu ilishawahi kumtoa man utd CL na kumpeleka Europa![]()

Ndiyomaana yule mpuuzi Pain Killer huwa anashinda tu kwenye nzuzi za timu zingineKubalini tu Man shity ni timu ndogo haina Fan base kubwa

Win .....win....win......
Then uone Kama hakuna fans
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app