FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,627
- 9,321
Rooney alivyocheza 6 ilizaa matunda gani?Hahahahaha labda uangaliaji tunatofautiana
Wewe mwenzangu umeona Bernado anajua kukaba kuliko KDB hahahahah
Pale nilisema kama inatokea 6 wote wamejeruhiwa (wote wa starting lineup na benchi) KDB anaweza kupiga 6 fresh kabisa
Kama sijasahau kuna kipindi Wayne Rooney alikuwa anachezeshwa sita pale Utd ilihali Rooney ni mshambuliaji