The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

4904916f47f05e6bc6e93c4102181ddf.jpeg

City anatumia kiasi kidogo zaidi kwenye mishaharaa kulinganisha na l'pool na man u
Japokuwa anakikosi kipana namna ile
 
Seasons results in all competitions:

Pool - Played 52, Won 37, Drawn 8, Lost 7, Goals For 113, Goals Against 38, Goal Difference 75, Win 71.15%

City - Played 61, Won 50, Drawn 5, Lost 6, Goals For 169, Goals Against 39, Goal Difference 130, Win 81.97%
Tumeshinda mechi nyingi kuliko michezo waliocheza l'pool
 
Seasons results in all competitions:

Pool - Played 52, Won 37, Drawn 8, Lost 7, Goals For 113, Goals Against 38, Goal Difference 75, Win 71.15%

City - Played 61, Won 50, Drawn 5, Lost 6, Goals For 169, Goals Against 39, Goal Difference 130, Win 81.97%
Tumeshinda mechi nyingi kuliko michezo waliocheza l'pool

Hongereni sana
Mlistahili ubingwa kwa kuwa mna timu nzuri lakini kama Pep alivyosema juzi, bila kushinda UCL itakuwa ni vigumu sana kwa ManCity to establish itself as one of the elite teams of Europe
Mjitahidi mchukue UCL otherwise mtakuwa majogoo ya shamba kama PSG
 
Sio siri hii FINANCIAL FAIR PLAY naona waliianzisha ilikuizuia timu kama City kuweka history
Kuna nakala kadhaa nimezisoma nitaweka link apo chini uone pia.
Kwamba City sio timu pekee iliyofanya usajili wa gharama kubwa na wakutisha.
Tatizo lililopo ni kwamba thamani(bei) za wachezaji zimepanda sana na zinabadilika kwa kila mwaka kulingana na somo.
Mfano shevshenko,essien,shearer,drogba,ferdinand, rooney gharama zao ukizibadili kwa wakati huu ni bei kubwa sana.
Screenshot_20190522-220001.png

Screenshot_20190522-220137.png

Ila ni nini kimetokea mpaka mmbo yakuanzishwa izi FFP na kuibana city namna hii,na kwanini ni wakati huu.
Kwenye kikosi tu cha bei cha EPL cha wakati wote city hatujaweka hata mchezani mmoja.
c2635feacb3e749cb26dfb3039bed7e7.jpeg

Ni chelsea na man u(the rags)

Aya tukienda kwa clubs za gharama kubwa zaidi kuazia 1991 utaona city ni ya nne. Ikitanguliwa na chelsea,l'pool,man u.
Screenshot_20190522-220249.png

Screenshot_20190522-220256.png

SO WHY DO THEY INVESTIGATE US TOO MUCH? Na kwann waanzishe FFP whie other teams has already made the history?
 
Jamani nasikia fununu je ni za kweli?
Guardiola , who has a contract at the Etihad until 2021 and has not ruled out staying longer, has been clear each time he has been asked about it.

“I know today the social media has a heavy influence but I don’t understand, believe me,” Guardiola said when asked by the written press about the speculation after City's win over Watford two months ago.

“I don’t understand. Why on Twitter something is said and everybody in the big pages ‘Pep for the next four years is going to Juventus’. I don’t understand.

“I don’t understand how the people before say if I go to Juventus or not don’t try to call the club or call myself or call my agent or Juventus or Massimiliano Allegri. I’m sorry for Massimiliano.


“I have two more years here and I’m not going to move. Impossible. Except if they sack me and after I go home.

“But if Manchester City want me, I will stay two more years by far. And hopefully another one. I’m not going to Juventus in the next two seasons.

“It’s your problem. If you want to say [in the media] one day when the guy off Twitter says I’m going to Juventus or to train in the United States of America. What can I say? Nothing.”
 
Ila hata hivyo kuna wakati ataondoka tu hilo tunajua.
Hata hivyo haitatugharimu sana maana arteta(msaidizi wa pep) atabaki. Amekataa offer ya kwenda kufundisha napoli anabaki.
 
Sio siri hii FINANCIAL FAIR PLAY naona waliianzisha ilikuizuia timu kama City kuweka history
Kuna nakala kadhaa nimezisoma nitaweka link apo chini uone pia.
Kwamba City sio timu pekee iliyofanya usajili wa gharama kubwa na wakutisha.
Tatizo lililopo ni kwamba thamani(bei) za wachezaji zimepanda sana na zinabadilika kwa kila mwaka kulingana na somo.
Mfano shevshenko,essien,shearer,drogba,ferdinand, rooney gharama zao ukizibadili kwa wakati huu ni bei kubwa sana.
View attachment 1105078
View attachment 1105079
Ila ni nini kimetokea mpaka mmbo yakuanzishwa izi FFP na kuibana city namna hii,na kwanini ni wakati huu.
Kwenye kikosi tu cha bei cha EPL cha wakati wote city hatujaweka hata mchezani mmoja.
View attachment 1105087
Ni chelsea na man u(the rags)

Aya tukienda kwa clubs za gharama kubwa zaidi kuazia 1991 utaona city ni ya nne. Ikitanguliwa na chelsea,l'pool,man u.
View attachment 1105098
View attachment 1105100
SO WHY DO THEY INVESTIGATE US TOO MUCH? Na kwann waanzishe FFP whie other teams has already made the history?

Which teams have made the history?
 
Bayern waliokuwa mdomo mbele ili watuchunguze. Na wakituponda wakati wote.
Leo hii wanataka tuwauzie sane.
I wish he is not goint for less than £110m kwaio. Au wasubiri hio miaka miwili ya mkataba wake.
 
Back
Top Bottom