The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

1470743765359.jpg
1470743786774.jpg
 
Pia Guardiola anaushawishi mkubwa sana...
I hope tutampata huyu jamaa...
Lakini hii itakuwa sio habari nzuri kwa Ihenacho mkuu..!
Ihenacho ni mzuri ila tatizo lake ukomavu na aguero anajiachia sana siku hiz inatakiwa tupate mtu wa kumfanya aguero awemakini na namba yake halafu mashindano tunayo mengi ihenacho atapata tu muda wa kucheza halafu cha pili aguero ansumbuliwa na majeruhi ya mara kwa mara auba bado muhimu sana kwenye harakati zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom