George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,362
- 5,625
Nashukuru mkuu...Tafuta uzi husika...
Sikuwahi kuiona hii thread...
Anyways...
CTID
Nashukuru mkuu...Tafuta uzi husika...
Tunaweza mpata kweli mkuu..!?Bado aubamyang tufunge dirisha that's whay gadiola
Ngoja tusubiri dirisha bado panaTunaweza mpata kweli mkuu..!?
Tukimpata huyo mtu tutakua tumemaliza kazi kwa kweli..!!!
Pia Guardiola anaushawishi mkubwa sana...Ngoja tusubiri dirisha bado pana
Ihenacho ni mzuri ila tatizo lake ukomavu na aguero anajiachia sana siku hiz inatakiwa tupate mtu wa kumfanya aguero awemakini na namba yake halafu mashindano tunayo mengi ihenacho atapata tu muda wa kucheza halafu cha pili aguero ansumbuliwa na majeruhi ya mara kwa mara auba bado muhimu sana kwenye harakati zetuPia Guardiola anaushawishi mkubwa sana...
I hope tutampata huyu jamaa...
Lakini hii itakuwa sio habari nzuri kwa Ihenacho mkuu..!
Sawa dada..!!!Kithread uchwara hiki kifuteni tu
Kithread uchwara hiki kifuteni tu